Siku hizi hata mke ukweni ni interview?

Siku hizi hata mke ukweni ni interview?

hicho ndio kinanifanya hata mimi nisitake kuolewa familia zenye mapesa[emoji24][emoji24]
maana nilivo na jazba naweza tukana ukoo mzima...
halafu nikawakataa vile vile...
 
Uyo baba mkwe kama sio muhaya sijui
 
Aisee, mi siku huyo tulikunywa pombe sana. Baba mkwe aliniambia nisiwe na aibu atakuwa na wasiwasi kama notamtunza bintiye.
 
Mbona uliulizwa maswali mepesi hivo kuna dadangu alitaka olewa mchumba alipigwa maswali akashindwa kujibu pamoja na kuulizwa ukoo na ndugu conditions alizopewa hakurudi tena, kumbe alikua tapeli la mjini. So maswali ka hayo yanasaidia kujua mambo mengi baba huwezi tu kumruhusu mwanao aende kizembe kwa MTU asiyejulikana asiye na mbele wala nyuma.
inategemea lakini mambo ya mali hizi hutafutwa na huisha pia. yawezekana mwanaume hana mali na kazi ya kueleweka ama ya kumfanya baba mkwe atabasamu kwa wakati huo ila kesho na keshokutwa akachanua. ujue saa ingine life takes two.
inaeza kuwa unafight sana na hata unalipwa ngawira za kutosha ila mambo hayaendi kumbe tu unahitaji upande wa pili( mkeo)hata kama unalipwa kiduchu mtashauriana na kuchanua.

easy easy wakwe msitukatishe tamaa vijana.
 
Ndiyo umuhimu wa kuoa familia ambayo hali za kimaisha zinakaribiana. Wazazi wenye busara lazima waulize haya maswali, hata kama utofauti mkubwa wa kimaisha vipi akili yako inafanya kazi vizuri kiasi kwamba unaweza kuinuliwa kiuchumi na ukainuka.
 
Back
Top Bottom