Migomba
JF-Expert Member
- Nov 30, 2013
- 945
- 1,339
Zamani kidogo clouds Fm walikuwa na doctor beats ambayo kwa sasa inaitwa xxL. Alikuwa anasimama Bony luv kama DJ na ML Chris kama Mc ilikuwa muziki mwingi, salamu kidogo na story kidogo. Akaja Steve B na baadae Venture still muziki ulikuwa mwingi.
Lakini ilipokuja Xxl sasa... Dj mmoja watangazaji watatu ni story mwanzo mwisho! East Africa nao vile vile wkt wa Soul train akiwa anapiga DJ Habib hakuwa mtu wa story tena alikuwa anasimama peke yake leo kila uki "tune in" ni story tuuuuu mbaya zaidi unakuta ni story ambazo wala hazijabeba habari ndani yake. Yaani very boring.
Hiyo ni mifano tu lkn hali iko hivyo radio zote.
Lakini ilipokuja Xxl sasa... Dj mmoja watangazaji watatu ni story mwanzo mwisho! East Africa nao vile vile wkt wa Soul train akiwa anapiga DJ Habib hakuwa mtu wa story tena alikuwa anasimama peke yake leo kila uki "tune in" ni story tuuuuu mbaya zaidi unakuta ni story ambazo wala hazijabeba habari ndani yake. Yaani very boring.
Hiyo ni mifano tu lkn hali iko hivyo radio zote.