T2015CCM
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 7,931
- 987
Miaka kadhaa imepita sasa katika anga za siasa za Tanzania ambapo Dr Slaa alisimama katika viwanja vya Mwembe yanga Temeke jijini DSM na kuwaaminisha watanzania kuwa Edward Lowassa ni kinara wa ufisadi nchini Tanzania akawataja watu wengine 10 idadi yao ikawa 11. Nasubiri kwa hamu siku Slaa atakaposimama jukwaani akila matapishi yake kwamba Lowassa ni jembe ni msafi na ndio mana chama chake kimempa fomu ya kuitaka ikulu ya nchi. Mbowe yeye ameshabwagia tapishi sasa ameshiba watz wanamtafakariiiii!!! hawapati jibu.