Siku Dr. Slaa akiongea


Umeongea ujafanya utafiti. Fanya utafiti nikwamba watu wanaomtukana Dr Slaa humu jf ni wanaccm na act .sasa sijui utawa ambia nini wewe mwanachadema wakusikie waache kumtukana Dr.wakati wao wanatumia nafasi. Hiyo kujaribu kubomoa chadema.ataa Dr ni member. Hapa jf na anajua wanaomtukana sio prochadema .sana sana alikuwa Yeriko nautaona alimjua na alimkanya na Yeriko .amewacha .sana sana sisi wanachadema kauli zetu ni zakuomba Dr aingie uwanjani basi.natoka tuelezwe yupo mapumziko tumenyamaza.nimesema nikwambie hivyo maana isije onekana wanachadema ndio tulikuwa tuna mtukana Dr kipenzi wetu baba wa taifa jipya Tanzania baada ya 25 october.
 
Alichosema Mh. Mbowe ndio busara hitajika, na ikiwa kweli kuna nia ya dhati ya kubadili mfumo basi wakati ni sasa. Ni lazima kujitolea sana ili lengo lifikiwe na yeyote ambae hataliona hili anamaanisha kwamba mfumo uliopo ameridhika nao.

ile "wagawe uwatawale" itakuwa imefanikiwa
 

Wewe ni Gamba! Tulia sindano ya Ukawa ikuingie vizuri!
 

Huna lolote kama hauko chadema kinachokufanya uifuatilie kwa ukaribu ni nini??

Kijanana ukiwa mnafiki lazima uzeeni uwe mchawi.

Poor ccm

Mungu bariki CDM
Mungu bariki Tanzania
 
Nikikumbuka mshikamano wa Mbowe na Slaa sielewi inawezekana vipi haya yafike huku.....

Kweli mkuu na Dr Slaa aliirudia Mwanza wakati anampokea Bulaya na Lembeli kwamba watu wanasema mimi na Mbowe hatuelewani, akasema watz msidanganyike mimi Mbowe tuko wamoja, walishindwa kumgundua shetani mapema.....
 
Nikikumbuka mshikamano wa Mbowe na Slaa sielewi inawezekana vipi haya yafike huku.....
bila neno la mzee wangu dr slaa kula yangu october napeleka kusikojulikana....dhihaka imevuka mipaka
 
bila neno la mzee wangu dr slaa kula yangu october napeleka kusikojulikana....dhihaka imevuka mipaka

Kuliko upige kura ccm bora ulale siku hiyo, wengi tu tumeumizwa na jambo hili ila uvumilivu ndiyo ukomavu wetu na pia usiwe mwepesi kutoa misimamo hivyo uwe na akiba ya maneno mkuu.
 

Unawajua TISS wanaomlinda Waziri Mkuu mjiuzulu wanaripoti na nakuwajibika kwa nani?
Kama kweli kauli kama hizi zinatoka kwa mwanachadema safari ya Ukombozi kwa ile misingi ya awali ya Chadema kwisha habari yake.
 
Unawajua TISS wanaomlinda Waziri Mkuu mjiuzulu wanaripoti na nakuwajibika kwa nani?
Kama kweli kauli kama hizi zinatoka kwa mwanachadema safari ya Ukombozi kwa ile misingi ya awali ya Chadema kwisha habari yake.
Unashangaa hili?Mbowe ndo ameanza kampeni za kumchafua Dr Slaa kupitia hivi vijibwa vyake,kama kawaida yake.
 
we vipi umevuta nini? umeelewa hata nilichoandika? au hata wewe umeanza kutumia ile kitu ya arusha? ni aibu kwa mwanamke kuandika utumbo huu.

Huna lolote kama hauko chadema kinachokufanya uifuatilie kwa ukaribu ni nini??

Kijanana ukiwa mnafiki lazima uzeeni uwe mchawi.

Poor ccm

Mungu bariki CDM
Mungu bariki Tanzania
 
bangi,

 
Pamoja na Mbwembwe zote za Lowassa lakini anamhitaji Dr.Slaa kuliko Dr Slaa anavyomhitaji Lowassa.
 

Kama ni hivyo aende ila atakuta ukombozi umepatikana bila ya yeye kushiriki. Kila la kheri huko aendako iwe Vatican au Australia.
 
Mtaelewa tu simmekalili neno msariti kazikwenu
 
Mbowe kasema watatumia jitihada zote wasimwache nje pamoja na sintofahamu ilotokea...

Dr. Slaa ana misimamo yako ambayo haiyumbishwi. Nakumbuka ule wimbo samaki ana mengi ya kuongea ila mdomo umejaa maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…