Mujumba
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 853
- 306
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELO ( CHADEMA) NI mmoja ya vyama vya upinzani nchini ambacho kimeonyesha japo kwa kiasi kuitikisha ccm na kuonekana kukubalika na vijana wengi wa kijiweni na wale wenye uelewa mdogo wa mabo ya dunia, najiuliza siku chadema IKIFA TUTAPATA CHAMA KINGINE KAMA HIKI??/