DELETED ACCOUNT
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 9,805
- 15,470
- Hakutakuwa na shamrashamra zozote mitaani.
- Watu watakwenda makazini na kwenye shughuli zao za kiuchumi kesho yake kama kawaida.
- Watu hawatajifungia siku 3 majumbani wakisubiri kwa hofu kubwa kitakachotokea.
- Hakutakuwa na ibada za kisiasa za kuiombea nchi amani.
- Watu hawatakuwa wanajali siasa kwa kuwa kiukweli maisha yao ya kila siku hayatakuwa yanategemea siasa.
- Mwenyekiti wa NEC hatakaa kwenye TV kwa siku nne anatangaza matokeo jimbo moja mpaka lingine. "Ule utaratibu wa Uchaguzi wa 2015 ulikuwa na maana gani hasa?" Historia itauliza.
Siku hiyo inakuja.