Siku ambayo wife alinipa kipigo cha paka mwizi...

Hao wameoa, wewe umeolewa hio ndio tofauti yenu.

Mwanamke mpaka anipige makofi labda niwe hoi mahututi. Kwangu mwanamke ni mwanamke tu hata awe nani katika nchii hii atakula kipigo cha mbwa koko na mashine juu ntamchapa nayo halafu freshi tu! šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£

Hio inaitwa "Putting a lady in her place!"

 
Sasa tufanyaje? Tunapasua tu maana bila hvyo mnakuwa na dharauuu..chakula special aaaggrrrh mama mijengo lazima wapate hasira aiseee hata ngekuwa mie najua mcheeepuuukooo tuuu
Wangeyaongea tu, asa mambo ya kupigwa kichwani sio poa kabisa,, je angempasua macho jamaa kazi angefanyaje?
 
Pale ofisini kuna dada mmoja mashallah huwa analeta chakula. Kaumbika sana yule, chakula anachokuletea hata akizidisha pilipili kama yupo mbele yako huwezi pata ujasiri au nguvu ya kumkosoa; utakiona sawa tu.

Nilichukua namba yake tuwe tunawasiliana nimwagize chakula ntakacho. Mtoto wa kizigua yule mashallah, ajua kupika.

Mwezi mmoja uliopita tulikuwa tumeanzisha utaratibu wa kufanyia kazi home kutokana na Corona.

Alinimiss akaona anitumie text kuwa amenimiss kesho anaomba anipikie chakula maalum. Text yake imeingia simu ipo mkononi mwa wife anaangalia some videos za whatsapp akaisoma ile text.

Alikuja tu kuuliza Salma ni nani? Mimi sikuwa najua Salma gani. Kabla sijajibu alinipiga na frying pan kichwani. Kwa sekunde kadhaa network ilikata nikawa nasikia milio ya nyuki, haraka ananivamia na kuanza kunishambulia kwa magumi na mateke. Wakati huo najiweka sawa alinipiga na remote jichoni.

Mchana kabisa nikaona giza halafu nyota nyota. Nilienda kwenye kochi nikainama nimepiga magoti huku nimeweka mikono machoni. Hapo kidogo akashtuka na kuacha kunipiga.

Nilitulia kwa dakika kadhaa maana nilianza pata waswasi kuwa pengine jicho limepasuka. Kumbe wakati huo akifanya hayo alikuwa amepiga simu kwa Salma bila yeye kujua(ali press call)

Basi baada ya kama dk 10 jicho likawa ok ila siwezi kuona kwenye mwanga linauma sana. Nikaenda chumbani sikusema kitu kwanza, nilikuwa natafakari hayo yoooote. Nikawa pengine nimekuwa weak sana. Ukikaa na mke miaka mingi hujampiga anaanza kuona wewe si mwanaume halisi.

After two days nlienda town, nikaonana na Salma. Kumbe alisikia baadhi ya maneno na sauti za kipigo kwangu. Siku hiyo aliomba kesho yake niende kwake tukaongee na kweli nilienda....

Baada ya stories kadhaa aliniomba tutoke nimsindikize hapo karibu dispensary. Maskini alinipeleka tukapime HIV kisha tukarudi home kwake. She gave herself to me kama pole kwa matatizo aliyonisababishia. Dispensary alinichukulia na dawa ya macho, tukarudi akaniosha na kuniweka dawa then later on tuka make love so passionately.

Mpaka leo wife hakuniomba msamaha na hakuwa ametaka kujua huyo Salma ilikuaje akaandika vile; alinihukumu bila kunisikiliza. Jumanne alijaribu tena kunikoromea tena kibabe mbele ya housegal. Safari hii nilimtandika kibao akaanguka na kutulia kama dk 5 kisha akaamka na kuanza kulia baada ya dk zaidi ya 6 kupita.

Naona imesaidia akili yake sasa imekaa sawa na heshima imerudi. Wanawake, ya nini kupigana?
Japo hata mimi ilinikuta ila alinipiga kibao cha kustukiza, maana aliniamsha usiku ghafla tu nina mawenge kibao ananiuliza najiuma uma, ghafla kanipiga kofi (Ila nilimuachia tu sababu huwa sipigi mwanamke, nikipiga naweza kuuwa kabisa.).

Sasa jambo lingine katika huu uzi lImenizindua na kunipa faida, nikajisemea moyoni, hivi ingetokea siku nikapewa kazi, "Bwana Zurri embu tuandikie neno 'frying pan' kuna laki mbili hapa" aisee hii laki mbili ningeikosa kabisa. Maana huwa najua ni "Flampeni". Shukrani kwa hili mzee.
 
Kitendo cha kupigwa siku ya 1 na ukatulia kile kitakutesa kwenye maisha yako kwa muda mref Amin kwamba ulionyesha udhaifu sana na atakutandika tena siku nyingine, ulitakiwa umuonye siku ileile
Huyo mke haji kumpiga tena, mabanzi aliyompa ndiyo adabu yake
 

So mchezo. Sasa fikiria mtu anampiga "mke wake" "my wake" Baby wake" "sweetheart wake" kitu kama hicho.
Kuna wanaume hawapo romantic kabisa.
Nyinyi wanawake muda mwingine mnakera sana, unaweza kuta mwanaume anajiepusha msigombane na anapenda sana mwelewane. Nyie mnaona haitoshi, mnatafuta ugomvi bila sababu, halafu mtu akichukia basi roho zenu kwatuu..... Huyo ugomvi hakuuona siku nyingi, alikuwa anatikisa kiberiti sasa baruti zikasuguana kikalipuka
 
Back
Top Bottom