Siku ambayo Kikwete anaondoka madarakani nitaiadhimisha kila mwaka

Kamanda sherehe lini?
 
Nani tena anafukua makaburi
 
Ona ulivyomnafiki,huyu huyu ambaye ulikuwa unamnanga siku hizi ndio unamsifia,tumeshawajua nyie hakuna mzuri yoyote akiwa CCM ila akija kwenu anageuka malaika.
 
Upinzani upo kwenye denial ...wengine tulijua nini kinakuja baada ya zile gia za 2015 ...tumefanya kila tunaloweza kuamsha watu kutoka kwenye usingizi ili tusonge mbele lakini ujuaji na kiburi umeifikisha upinzani hapa. Mbaya zaidi bado wengine hawajagutuka! Acheni kuibeza CCM na kuacha kuionya chadema. Chadema imepigwa ganzi amkeni!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…