Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,149
- 27,161
Kumbe kipindi cha jk kulikuwa na unyama wa kutisha kiasi hicho kama ulivyoainisha hapo? Na kumbe hata wapinzan walikuwa wanaonewa sana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binadamu tunasahau haraka sana...Kumbe kipindi cha jk kulikuwa na unyama wa kutisha kiasi hicho kama ulivyoainisha hapo? Na kumbe hata wapinzan walikuwa wanaonewa sana?
Kamanda sherehe lini?Tangu nchi hii ipate uhuru,hakuna awamu ambayo taifa limepata hasara kubwa na ya kutisha kutokana na wizi na ufisadi wa kiwango cha juu kama awamu hii ya Kikwete.
Ni katika awamu hii wanyama wamepandishwa ndege na kuuzwa nje ya nchi;ni katika awamu hii kashifa za wizi wa mabilioni ya fedha za umma zimetokea na wezi kulindwa;pia,ni katika awamu hii,operation za kinyama kama "tokomeza" zimetendeka;ni katika utawala huu watu wameng'olewa kucha na meno bila ganzi na kisha kutupwa wakiwa mahututi;ni katika awamu hii ambapo wezi wa mabilioni ya umma wamesamehewa na ni katika awamu hii pia,ndugu zetu albino wameuwawa kinyama huku serikali ikishindwa kuwalinda.
Jambo lingine baya kabisa ni unyama wa Jeshi la polisi katika kudhibiti wapinzani na hata kutuhumiwa kuua raia kwa risasi na mabomu.Tuhuma za mabomu ya Arusha na kwingineko kila mtu amezisika.
Mfano mbaya kuliko wote ni mauaji ya Daudi Mwangosi ambayo polisi wanatuhumiwa kuyatekeleza na kwa mshangao wa wengi, RPC mtuhumiwa akapandishwa cheo.
Vile vile bila kusahau mgomo wa madaktari na jinsi serikali hii ilivyoumaliza bila kusahau madhara ya mgomo huo kwa wagonjwa wasio na hatia.
Pia,ni katika awamu hii maoni ya wananchi katika kupata katiba mpya yametupwa bila huruma.
Haya yote yametokea katika awamu hii ya JK ambapo watuhumiwa wengi bado wanapeta uraiani!!
Kwasababu hizo,bila kujali nani amtamrithi JK,nina kila sababu ya kusheherekea kuondoka madarakani kwa Kikwete na ni imani yangu nchi itaapumua.
Hiyo siku kila mwaka kama ni kuchinja mbuzi nitachinja,kama ni vinywaji, basi idadi na variety kwa siku hiyo itaongezeka na pia nitawaombea dua wale wote walioathirika kwa namna moja au nyingine na utawala huu.
Nani tena anafukua makaburikuondoka kwa kikwete ni sawa na kupona ugonjwa wa cancer. kikwete ni cancer iliyotafuna nchi kwa kipindi cha miaka kumi. asante mungu huu ugonjwa unaondoka kabla haujau wa TZ wote. uwarehemu waliotangulia kwa kuuwawa na ugonjwa huu. tulijitakia sisi wenyewe. wengine walisema ni chaguo lako mwenyezi, kumbe ni ugonjwa kutoka kuzimu.
Atakuja na gia ya anganiKamanda sherehe lini?
Limeingia jiwe bado mnaendelea kulialia mmebadilisha sababuNinaahidi mbele ya mashahidi wa JF kwamba katika maadhimisho yako ya kwanza ( bila shaka itakuwa november hii ) nitakuchangia pesa taslimu 200000 ( laki mbili ) ili kujazia patakapopungua , wakati ukifika njoo PM .
Ona ulivyomnafiki,huyu huyu ambaye ulikuwa unamnanga siku hizi ndio unamsifia,tumeshawajua nyie hakuna mzuri yoyote akiwa CCM ila akija kwenu anageuka malaika.Tangu nchi hii ipate uhuru,hakuna awamu ambayo taifa limepata hasara kubwa na ya kutisha kutokana na wizi na ufisadi wa kiwango cha juu kama awamu hii ya Kikwete.
Ni katika awamu hii wanyama wamepandishwa ndege na kuuzwa nje ya nchi;ni katika awamu hii kashifa za wizi wa mabilioni ya fedha za umma zimetokea na wezi kulindwa;pia,ni katika awamu hii,operation za kinyama kama "tokomeza" zimetendeka;ni katika utawala huu watu wameng'olewa kucha na meno bila ganzi na kisha kutupwa wakiwa mahututi;ni katika awamu hii ambapo wezi wa mabilioni ya umma wamesamehewa na ni katika awamu hii pia,ndugu zetu albino wameuwawa kinyama huku serikali ikishindwa kuwalinda.
Jambo lingine baya kabisa ni unyama wa Jeshi la polisi katika kudhibiti wapinzani na hata kutuhumiwa kuua raia kwa risasi na mabomu.Tuhuma za mabomu ya Arusha na kwingineko kila mtu amezisika.
Mfano mbaya kuliko wote ni mauaji ya Daudi Mwangosi ambayo polisi wanatuhumiwa kuyatekeleza na kwa mshangao wa wengi, RPC mtuhumiwa akapandishwa cheo.
Vile vile bila kusahau mgomo wa madaktari na jinsi serikali hii ilivyoumaliza bila kusahau madhara ya mgomo huo kwa wagonjwa wasio na hatia.
Pia,ni katika awamu hii maoni ya wananchi katika kupata katiba mpya yametupwa bila huruma.
Haya yote yametokea katika awamu hii ya JK ambapo watuhumiwa wengi bado wanapeta uraiani!!
Kwasababu hizo,bila kujali nani amtamrithi JK,nina kila sababu ya kusheherekea kuondoka madarakani kwa Kikwete na ni imani yangu nchi itaapumua.
Hiyo siku kila mwaka kama ni kuchinja mbuzi nitachinja,kama ni vinywaji, basi idadi na variety kwa siku hiyo itaongezeka na pia nitawaombea dua wale wote walioathirika kwa namna moja au nyingine na utawala huu.
Kuondoka Kikwete tunasherehekea lakini huyu aliyeingia si mimi tu bali mpaka Obama anamshangaa!!!Limeingia jiwe bado mnaendelea kulialia mmebadilisha sababu
CCM ni laanaOna ulivyomnafiki,huyu huyu ambaye ulikuwa unamnanga siku hizi ndio unamsifia,tumeshawajua nyie hakuna mzuri yoyote akiwa CCM ila akija kwenu anageuka malaika.
Angeishi enzi za akina Socrates naye angekua great philosopher.Aliyewabatiza jina la nyumbu aliona mbali
Halafu wanalalamika eti wanachama wao wanawakimbia bila sababu,...sasa hii ni kitu gani...!!? Na rudia 2020...CCM kupata kura milion 17 usiniulize wapinzani watapata kura ngapi!alafu leo makamanda walewale wanakuambia JK alikuwa ni kiongozi wa kupigiwa mfano!