Siku ambayo Kikwete anaondoka madarakani nitaiadhimisha kila mwaka

Kitendo cha chadema kutuletea mgombea urais ambaye yupo kwenye list of shame(orodha ya aibu ya mafisadi papa ) ya chadema kiliumiza wengi na kuonyesha wazi kuwa chama kuongozwa na aliyepata zero form six ni hasara tupu.
 
Duh? Bado unasherehekea tu?
 
Leo una m miss. Ha ha ha ha
 

Ukisoma michango ya wakereketwa wa chamadola utagundua hata wao wanaamini ni bora Msoga kuliko Chato.
 
Haka kajamaa saa hii kapo tayari kumpigia JK kampeni nchi nzima ili arudi awe rais tena!

Ni bavicha hata kwenye familia zao hawana misimamo. Ni kama mashoga.

Sent using Jamii Forums mobile app

Katika watu niliotokea kuwadharau ndani ya JF, mmoja wao ni huyu jamaa mwenye hili bandiko, yaani hako kacheo alichonacho katika chama chake kimemfanya awe mtu wa kusikitisha sana,ingawaje mwenyewe anajiona akili kubwa.
 
Katika watu niliotokea kuwadharau ndani ya JF ,mmoja wao ni huyu jamaa mwenye hili bandiko,yaani hako kacheo alichonacho katika chama chake kimemfanya awe mtu wa kusikitisha sana,ingawaje mwenyewe anajiona akili kubwa.
Lakini unamsoma na kumjibu inatosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…