Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,173
- 27,223
We jamaa yangu wa kino, njoo leo tujadili hii mada bila mihemko!.. Salary Slip itabidi tufanye shereehee kubwa ya kusherekea kutoka kwa jk maana tangu aingie ni shidaaa
Kwema huko?Mleta mada siku hiyo tutaftane humu JF tukale bata....huyu jamaa aktoka madarakan lazima nshanglie hata asiposhinda ntakayempgia kura....kwa kutoka kwake madarakan ntahisi BOOOOOOOOOONGE LA USHINDI.
Naomba mualiko wa sherehe....1.Siku hiyo itaitwa kumbukumbu ya dikteta muuaji na mcheshi kuliko wote.
2.AU siku serikali ya majambazi ilipoondoka!
3.AU maadhimisho ya miaka kumi ya mateso chini ya Serikali ya wezi
4.AU siku mtandao wa wezi ulipoachia madaraka!!
Wameshammiss badala ya kusherehekea...kama wewe ni mwandishi wa habari basi taifi hili limepata hasara kuwa na mtu kama wewe. kwa kweli wewe ni disgrace kwa taifa hili.
hebu rudia kusoma ulichoandika kama wewe sio jisenge.
kupitia uongozi we kikwete
-hata wapumbavu kama wewe mnapata nafasi ya kuandika utumbo kama huu
-ndo kipindi pekee serikali iliyojenga barabara kila kona ya nchi kutoka km 6000 tu za watangulizi wake wote mpaka km 18,000.
-ndo kipindi pekee tumeona vyuo vikiongezeka kwa kasi ya ajabu
-umeme from less than 11% mpaka nearly 40%
-mashule kila kona
-mahosipitali kila kona
-uzalishaji wa walimu kutoka 850 tu kwa mwaka mpaka zaidi ya 4000 kwa mwaka
-kufikia 81% ya maji mijini na zaidi ya 52% ya maji vijijini.
-na mengine mengi ambayo siwezi kuyaandika hapa
narudia, kuwa na wewe kwenye taifi hili ni disgrace, ingekuwa uwezo wangu ningesama bora hata utangulie ahera tu. kama huwezi kuona chochote alichofanya kikwete kwenye uongozi wake. nyie ni walewale wa chuki.
Ninaahidi mbele ya mashahidi wa JF kwamba katika maadhimisho yako ya kwanza ( bila shaka itakuwa november hii ) nitakuchangia pesa taslimu 200000 ( laki mbili ) ili kujazia patakapopungua , wakati ukifika njoo PM .
mpumbavu kama wewe huwezi kuona jibu hapo. kwako wewe hamna hata jema alilofanya Kikwete. hata hizo barbara unazopita kwenda kwenu huwezi kuziona. wakati watu walisafiri kwenda kanda ya ziwa kwa kupita nchi jirani mbili kwa maana ya nairobi na kampala lakini leo hii imebaki historia.
again mpumbavu kama wewe huwezi ona jema hata moja la Kikwete. mimi sio fan wake lakini ushabiki wakipumbavu kama huu wa kwako huwa siuintertain hata kidogo.
maisha bora ulitaka akuletee mkate nyumbani kwako? au ulitaka aje akuzalishe kabisa.
kama kwenda lindi ulikuwa unatumia siku mbili toka dar lakini sasa unatumia masaa kumi sio mabadlikiko hayo? kama ulikuwa huna umeme leo unao sio maisha bora hayo?
maisha bora yanatafsiri pana ikiwa ni pamoja na kuimarisha miundombinu. kama maji, elimu nk. tumia kichwa kufikiria na sio kufugia nywele tu.
naziona chuki zako zilizodhahiri juu ya kikwete.
makosa kwenye utawala wowote ni possible. hata obama amepoteza mabunge yote mawili kutoka na makosa.
kama walivyo watu wengine binafsi suala kama la katiba limenichukiza sana na kura yangu ya big HAPANA ipo inasubiri. lakini haya yote hayaniondolei uhalali wa kisema ukweli.
awamu hii dola moja ya marekani inanunuliwa kwa pesa ya Tanzania 1850
us $1= tsh 1820
Sasa hivi tuna ugonjwa gani baada ya kupona kansa?kuondoka kwa kikwete ni sawa na kupona ugonjwa wa cancer. kikwete ni cancer iliyotafuna nchi kwa kipindi cha miaka kumi. asante mungu huu ugonjwa unaondoka kabla haujau wa TZ wote. uwarehemu waliotangulia kwa kuuwawa na ugonjwa huu. tulijitakia sisi wenyewe. wengine walisema ni chaguo lako mwenyezi, kumbe ni ugonjwa kutoka kuzimu.
njoo Leo tuzungumze kwa staha, nipo tayar tuweke mjadala kwenye hii post!
Elewa kwamba utawala wa JPM unapanda mbegu za chuki sana,trust me,2025 JPM akimaliza utawala wake,kuna baadhi ya watu wake wataishi kama wakimbizi hapa Tanzania!!
Majaliwa Kassim hapendi kusikia jina la Bashite kwenye hii serikali,lakini ndo hivyo,Bashite ni mtoto wa Baba! Bashite hana vyeti,Bashite ndo master mind wa ujinga mwingi unaofanyika hapa Tanzania!
Bashite anafokea watu,Bashite anafanya lolote atakalo,Bashite anajiona yeye ni Mungu mtu! Hadi anasema yeye ni mtumishi wa pili Tanzania kwa uchapaji kazi baada ya Baba yake!!
Bashite huyu anatukana watumishi hovyo hovyo hajui kwamba anaweza achia hiyo ofisi na kua muuza asali kama marehemu Ditopile,au mkulima kama mzee Mashishanga
Acheni kujifariji.
JK ndio kaweka msingi wa haya yote tunayoyashuhudia leo.
Angefanikisha Katiba mpya hata huu udhalimu usingekuwepo.
Wote ni wale wale ila kwa viwango tofauti.
Huyo jamaa kwa sasa anasema Kikwete ni Rais bora aliyewahi kutokea nchi hii, teh teh.Aisee!!!
Ulichanga?
Walimchukia kwa sababu ya dini yakeMalipo ni hapa hapa duniani
Na hii ni dhambi mbaya sanaWalimchukia kwa sababu ya dini yake
Na ndicho kinachoitafuna Tanzania tangu 1961Na hii ni dhambi mbaya sana
Sasa mkuu wewe ukiruka mkojo then ukakanyaga mavi utaacha kujilaumu?Huyo jamaa kwa sasa anasema Kikwete ni rais bora aliyewahi kutokea nchi hii, teh teh.
Nipo mzee babaWe jamaa yangu wa kino, njoo leo tujadili hii mada bila mihemko!
akijibu nitag.Shost zungusha kiunoView attachment 1107274