Pumba Mwiko
Member
- Mar 16, 2011
- 71
- 8
The following user says Thank You CAMARADERIE For This Useful Post
Sigma (Today)
hahahaaa,Pumba mwiko says thnks 2!(today)
The following user says Thank You CAMARADERIE For This Useful Post
Sigma (Today)
Zile siku 21 za Slaa juu ya kurudia uchaguzi wa madiwani arusha ni lini zitakamilika?
Acha upoyoyo wewe subiri uone kama hiyo katiba itachukua muda gani!! lakini makelele ya nini?Mkuu,
Ngoja nitoke nje kidogo. Nafikiri watu wa ccm wana akili sana lakini akili yao wanaitumia kwa evil ways , ku-manipulate umma. Huu unaosema ushindi ni failure kubwa sana ktk katiba.
Kwanini, mwanzo umma ulitaka katiba ccm hawakuitaka na nina amini hawataki katiba mpya, lakini wameweza kujigeuza kwamba wao ndo wanataka katiba harafu wananchi wanaipinga. Watacheza na tune hiyo hiyo mpaka 2015 inapita.
Tukirudi ktk 21 za Slaa, mhhhh
MKamaP;
Kitu cha muhimu zaidi tungekuwa tunajadili ni vipi Slaa amea-chive kuwafanya watawala kuwa makini. For the first time in our history Slaa made it. Nobody was able to critisize this [cowardice] government of CCM; from all phases/terms and walk free. Slaa amefanya, na anaendelea kufanya. What makes a legacy, enviable legacy? Mwinyi, Mkapa never made such a legacy; we never know about this coward JK (i call him a thug). Believe me Slaa will be remembered because he made it, he changed the way people think and also how things have to be done.
Mkama P, I don't see where is your sense; why can we call you a human being, you have your conscious mind which differentiates you from an animal, a dog have mind and all like you. But a human can differentiate EPA, thugery, richmond, dowans and how our people are dying of malaria only because the government is doing nothing. You may be a genius but I don't see why you go so far thinking Mr. Slaa has done nothing.
MkamaP, Mr. Slaa has got no army, has got no courts which he can bring a case and be judged well (you know that). He has no police. The Thugs control all the money, the police, courts and the army; the barrel of the gun. What do you expect from Slaa?
Unless if you can prove that you are not insane then i can argue with you;
!
Mkuu,
wengi hapa, are making Slaa to be more blunt.
Na bado hajakubali kuwa Mwenyekiti wao ni haramiaMliambiwa Lowasa mwizi-mkabisha
Mliambiwa Rostam Aziz mwizi......aaaa wapi
Mkaambiwa na Chenge Mwizi........ooh hatuna ushahidi
Mwenyekiti anasema hawa jamaa wezi wajitoe kwenye chama siku (90)
YETU MACHO
You merely hope you believed it. You can force yourself to believe. The guy is troubling your asses! And keeps you always offbalance.
The fact is, it is not Slaa, ni watanzania. Having you back under 36million watchdogs lazima upate nguvu.
Slaa ana waTZ over 36mil on his back, hata kama ni wewe utaogopa nini?
hIYO NDO HOFU YA MAFISADI.
niitetee ccm. Kwi kwi kwi.
Angalia Mbowe wenu, kama anawapenda wananchi mbona ameshindwa kurudisha fedha alizokopa kutoka kwa wananchi? mnashindwa kujiuliza akiwa yeye na access na hizo EPA atazifanyia nini? kwi kwi kwi kwi haki ya nani.
CCM mafisadi lakini na hiyo lineup mnayotetea imeoza vilevile, wana kiu tu na wao lini wataanza kufisadi kikamilifu japo leo wanafisadi kidokidogo hizo pesa zetu za ruzuku.
Chacha alipowaandama kuhusu kufuja hizo fedha hapo makao makuu walisema watatoa mahesabu kuonyesha fedha zilivyotumika, lakini hadi kesho hawatatoa hayo mahesabu.
Na kwikwi hazitawaisha hadi kila goti la fisadi litakapopigwa mbele ya wa Tz
Zile siku 21 za Slaa juu ya kurudia uchaguzi wa madiwani arusha ni lini zitakamilika?
you are just rag, as usual.
Wanajamvi nafikili mtoa hoja alikua na alilotaka kujua kamati kuu ya chama tawala tanganyika cdm ilitoa siku 21 kua kama uchaguzi hautorudiwa watarudi kwa wananchi ndio jibu alitaka na sio kashafa its time we change are amission
Inawezekana ni kweli Dr Slaa anaropoka, Je kile kitenda cha Mkulu kuropoka kuwa Jangwani pameuzwa yalke mabati yalizungushwa ua yabomolewe mara moja kumbe ni kituo cha mabasi ya kwenda kasi na hadi leo hii mabato bado yapo. Unaonaje hilo?Tumeshamzoea slaa kazi yake kuropoka tu,kontena lakura tunduma mara mkuu wamkoa wa shy balele kafa,mara siku 21,ilimradi kuropoka ropoka ropoka bila mpango,kelele za mlango hazimnyimi mwenye nyumba usingizi,tumechoka na uropokaji wa slaa,ajirekebishe.
watanabe kama unaweza kukutana na slaa mwambie ajirekebishe nakaulizake zakukurupuka marakwamara,kama ile yakusema mkuuwamkoa wa shy amekufa kwapresha alizopandishwa na chadema alijitia aibu namengine mengi tu anaropoka,nilikua namkubalisana ila sasa naanza kupata mashaka nae.Inawezekana ni kweli Dr Slaa anaropoka, Je kile kitenda cha Mkulu kuropoka kuwa Jangwani pameuzwa yalke mabati yalizungushwa ua yabomolewe mara moja kumbe ni kituo cha mabasi ya kwenda kasi na hadi leo hii mabato bado yapo. Unaonaje hilo?