yuko tabora wewe subiria tu utaona
Sawa mkuu, lakini zinaisha lini ama zimeshakwisha?
Zile siku 21 za Slaa juu ya kurudia uchaguzi wa madiwani arusha ni lini zitakamilika?
Punguza presha mkubwaa,utapata taarifa.
Sawa mkuu, lakini zinaisha lini ama zimeshakwisha?
Product ya shule za kata, somo la hesabu anafundishwa na mwalimu wa Civics, msamehe bureHujui hesabu au?
Hivi ndio vitu vinavyowapotezea watu credibility, Chadema wanapaswa wawe na priority zao na kuzifuatilia utekelezaji wake na sio kila siku kutajataja tu vitu viiingi na kuviacha vinaishia juu kwa juu!!
Product ya shule za kata, somo la hesabu anafundishwa na mwalimu wa Civics, msamehe bure
Hujui unenalo
Zile tisa zilikwisha, sasa 21 nazo nauliza sitakwisha lini?
The following user says Thank You CAMARADERIE For This Useful PostHuoni matokeo ya zile tisa?Matokeo ya hizo 21....naomba ufuatilie yanayojiri kwa madiwani huko Arusha
- Watu wamejaribu kuvua magamba
- Nafaka ya SGR imeachiwa katika soko
- Suala la mfumuko wa bei linawahangaisha watu
Hujui unenalo
Zile tisa zilikwisha, sasa 21 nazo nauliza sitakwisha lini?
Zile siku 21 za Slaa juu ya kurudia uchaguzi wa madiwani arusha ni lini zitakamilika?
waulize mazuzu wenzako maana shule zeni za kata hazina walimu wa hesabu:sleepy:
Huoni matokeo ya zile tisa?
Matokeo ya hizo 21....naomba ufuatilie yanayojiri kwa madiwani huko Arusha
- Watu wamejaribu kuvua magamba
- Nafaka ya SGR imeachiwa katika soko
- Suala la mfumuko wa bei linawahangaisha watu