Siku 21 za Slaa

waulize mazuzu wenzako maana shule zeni za kata hazina walimu wa hesabu:sleepy:

wewe husikilizi vyombo vya habari ukajua kwamba arusha meya hatambuliwi au????

Msekwa alisema wanajipanga kukabiliana na Jamii Forum, na huyu mkamaP naona ndo keshakuwa deployed, yupo kazini.
MkamaP peleka ujumbe kwa Msekwa JF ni Home of Great Thinkers, ni sehemu ya kuja na hoja na si porojo mlizozoea CCM.
 
Msekwa alisema wanajipanga kukabiliana na Jamii Forum, na huyu mkamaP naona ndo keshakuwa deployed, yupo kazini.
MkamaP peleka ujumbe kwa Msekwa JF ni Home of Great Thinkers, ni sehemu ya kuja na hoja na si porojo mlizozoea CCM.

Ha ha ha hivi umejiunga lini jf?
 
Ama kweli kwenye msafara wa mamba, kenge hawakosekani!? At the middle of great thinker, we have these kind of people. Sorry to say this but you're always boring like Kashaga. Is he your friend or just fellow! You are real hard worker. You must be paid alot!
 
Msekwa alisema wanajipanga kukabiliana na Jamii Forum, na huyu mkamaP naona ndo keshakuwa deployed, yupo kazini.
MkamaP peleka ujumbe kwa Msekwa JF ni Home of Great Thinkers, ni sehemu ya kuja na hoja na si porojo mlizozoea CCM.

umenifurahisha mkuu! Jibu tamu sana hili....
 
Zile siku 21 za Slaa juu ya kurudia uchaguzi wa madiwani arusha ni lini zitakamilika?

Mkuu, naona umeuliza swali ambalo labda ulitaka pia kutoa jibu. Mi sijaona baya ulilouliza. Ila kwa kutusaidia ili wote tuelewe na tuweze kuchangia labda ungeanza kwa kuweka hapa tarehe ya tamko hilo la Dr Slaa alipotoa siku 21. Na pia baada ya kutoa siku 21 alisema zikitimia kitu gani kitafuata.
Asante!
 
Mkuu, naona umeuliza swali ambalo labda ulitaka pia kutoa jibu. Mi sijaona baya ulilouliza. Ila kwa kutusaidia ili wote tuelewe na tuweze kuchangia labda ungeanza kwa kuweka hapa tarehe ya tamko hilo la Dr Slaa alipotoa siku 21. Na pia baada ya kutoa siku 21 alisema zikitimia kitu gani kitafuata.
Asante!

Asante mkuu,
Kwa uhakika siku 21 zimeshapita, na alisema lazima uchaguzi wa mea arusha utarudiwa. sijui nimekujibu swali
 
Asante mkuu,
Kwa uhakika siku 21 zimeshapita, na alisema lazima uchaguzi wa mea arusha utarudiwa. sijui nimekujibu swali
Asante umejibu swali langu, sasa niulize kama ulijua siku zimepita lengo la kuuliza ili kuwa ni nini? Je ulikuwa unatoa changamoto? Ulikuwa una-goad au ku-bait kwamba Dr Slaa na Chadema hawajafanya kitu? Nilikuwa nataka nielewa kwanza lengo lako ili mjadala huu uende vizuri.
 
Asante umejibu swali langu, sasa niulize kama ulijua siku zimepita lengo la kuuliza ili kuwa ni nini? Je ulikuwa unatoa changamoto? Ulikuwa una-goad au ku-bait kwamba Dr Slaa na Chadema hawajafanya kitu? Nilikuwa nataka nielewa kwanza lengo lako ili mjadala huu uende vizuri.

Vyema,
Mtu akitoa ahadi na siku zikifika ni nini kinachopaswa? na akifanya ndivyo sivyo nini unapata ama unajifunza kutoka kwa mtoa ahadi?
 
Vyema,
Mtu akitoa ahadi na siku zikifika ni nini kinachopaswa? na akifanya ndivyo sivyo nini unapata ama unajifunza kutoka kwa mtoa ahadi?
Umeleta changamoto nzuri kwa maswali haya:
Nadhani kwanza labda tuangalie mtu aliyetoa ahadi aliahidi nini?
Dr Slaa alitoa siku 21 na uchaguzi wa meya Arusha urudiwe au siyo? Sasa hiyo ilikuwa ni ahadi au angalizo?
Fundisho mimi ninayopata ni kuwa mtu asitoe deadline ambayo hawezi kutimiza, hapo naweza kusema kuwa Dr Slaa alitoa deadline ya siku 21 lakini haikuwa ndani ya uwezo wake kulazimisha uchaguzi urudiwe.
Je deadline ya hizo siku 21 ilikuwa ni:
- threat?
- promise?
- political gimmick?
Nadhani mtu wa kutujibu ni Dr Slaa mwenyewe.
Sijui nimekusaidia kukujibu?
 
Wewe ni nani wa kupima priority za chadema, wewe tulia na ccm suburi siku 90 kikwete alizowapa mafisadi, mpaka zikamilike watakuwa wameshampingua maana wao ndio wamemuweka hapo lazima wanajua jinsi ya kumtoa, wewe weka wasiwasi wako kwa huyo aliyekutuma hapa kuchafua hali ya hewa
utaenda naye segerea
hivi ndio vitu vinavyowapotezea watu credibility, chadema wanapaswa wawe na priority zao na kuzifuatilia utekelezaji wake na sio kila siku kutajataja tu vitu viiingi na kuviacha vinaishia juu kwa juu!!
 
Umeleta changamoto nzuri kwa maswali haya:
Nadhani kwanza labda tuangalie mtu aliyetoa ahadi aliahidi nini?
Dr Slaa alitoa siku 21 na uchaguzi wa meya Arusha urudiwe au siyo? Sasa hiyo ilikuwa ni ahadi au angalizo?
Fundisho mimi ninayopata ni kuwa mtu asitoe deadline ambayo hawezi kutimiza, hapo naweza kusema kuwa Dr Slaa alitoa deadline ya siku 21 lakini haikuwa ndani ya uwezo wake kulazimisha uchaguzi urudiwe.
Je deadline ya hizo siku 21 ilikuwa ni:
- threat?
- promise?
- political gimmick?
Nadhani mtu wa kutujibu ni Dr Slaa mwenyewe.
Sijui nimekusaidia kukujibu?

Mkuu ni vyema,
Hii mie nilitaka pia kuwaonesheni jinsi gani wanasiasa wetu wasivyotofautiana wananena vitu rahisi visivyowezekana, kwa jinsi hiyohiyo watu wanaweka matumaini makubwa juu yao eti ni wakombozi, wakati hata kitu rahisi walichosema wanashindwa kutekeleza? Hapo ndo unajiuliza u-mamajusi wao umejikita wapi?

Kwa jinsi ile ile, JK aliwalaghai hawa hawa leo wanaojifanya kwamba wana uchungu na Taifa hili, tuliwaulizeni wakati ule huyu JK ni kitu gani kirahisi zaidi ambacho amekifanikisha kwa ufasaha. Waliturushia matusi kama unavyoyaona hapa leo.
 
Huoni matokeo ya zile tisa?
  1. Watu wamejaribu kuvua magamba
  2. Nafaka ya SGR imeachiwa katika soko
  3. Suala la mfumuko wa bei linawahangaisha watu
Matokeo ya hizo 21....naomba ufuatilie yanayojiri kwa madiwani huko Arusha

Nadhani dhairi hata ule Muswada uozo wa Katiba umeondole kwanza
 
Wewe ni nani wa kupima priority za chadema, wewe tulina na ccm suburi siku 90 kikwete alizowapa mafisadi, mpaka zikamilike watakuwa wameshampingua maana wao ndio wamemuweka hapo lazima wanajua jinsi ya kumtoa, wewe weka wasiwasi wako kwa huyo aliyekutuma hapa kuchafua hali ya hewa
utaenda naye segerea
avatar41085_2.gif
Avatar yako iko juu, hadi Obama aligonga ki-cup?
 
Dr slaa ni kiongozi makini, hasinge anza kuangaika na meya wa arusha wakati ccm wanataka kuchakachua KATIBA YA NCHI, alikuwa kwenye harakati nyingine za kuokoa taifa, na imewezekana kikwete na hao wanyonyaji wenzake wamerudi nyuma na muswada umchomolewa bungeni, sasa hiyo ya Arusha shukurani kukumbushia wewe subiria, au kuna akari wa kuua watu wamemaliza mafunzo ndio maana unajifanya kifua mbele, wewe si umeona kilichotokea TABORA, POLICE wenyewe wanasema serikali imeogopa maandamano na kutimiza mnachodai , hivyo hakuna tena haja ya maandamano!!!!!
Umeleta changamoto nzuri kwa maswali haya:
Nadhani kwanza labda tuangalie mtu aliyetoa ahadi aliahidi nini?
Dr Slaa alitoa siku 21 na uchaguzi wa meya Arusha urudiwe au siyo? Sasa hiyo ilikuwa ni ahadi au angalizo?
Fundisho mimi ninayopata ni kuwa mtu asitoe deadline ambayo hawezi kutimiza, hapo naweza kusema kuwa Dr Slaa alitoa deadline ya siku 21 lakini haikuwa ndani ya uwezo wake kulazimisha uchaguzi urudiwe.
Je deadline ya hizo siku 21 ilikuwa ni:
- threat?
- promise?
- political gimmick?
Nadhani mtu wa kutujibu ni Dr Slaa mwenyewe.
Sijui nimekusaidia kukujibu?
 
Dr slaa ni kiongozi makini, hasinge anza kuangaika na meya wa arusha wakati ccm wanataka kuchakachua KATIBA YA NCHI, alikuwa kwenye harakati nyingine za kuokoa taifa, na imewezekana kikwete na hao wanyonyaji wenzake wamerudi nyuma na muswada umchomolewa bungeni, sasa hiyo ya Arusha shukurani kukumbushia wewe subiria, au kuna akari wa kuua watu wamemaliza mafunzo ndio maana unajifanya kifua mbele, wewe si umeona kilichotokea TABORA, POLICE wenyewe wanasema serikali imeogopa maandamano na kutimiza mnachodai , hivyo hakuna tena haja ya maandamano!!!!!
Nimekusoma mkuu, lakini bado hoja ya MkamaP ipo palepale kwamba je siku hizo 21 alizotoa Dr Slaa ni kwa lengo gani? Kama alijua hatakuwa na nafasi kulishughulikia suala hili kutokana na muswada basi asingewapa siku 21. Hilo nadhani ni kitu ambacho lazima tukubali ni sehemu ya kujipunguzia credibility. Hata hivyo suala hili si la kwangu mimi, wewe au MkamaP nadhani ni suala la Dr Slaa kulitafakari.
 
Avatar yako iko juu, hadi Obama aligonga ki-cup?
mkuu babu noma si umeona toka mawaziri wa kikwete wagonge kikombe wamepunguza kugombana magazetini. ila siku 90 alizopewa kikwete na chadema kuhusu nyumba zetu za umma alizouza magufuri kwa bei ya peremende, inaweza kuwa kizaa zaa hapo ikulu jinsi ya kuvuana magamba
 
Back
Top Bottom