Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 8,205
- 14,132
Rais wa nani kachaguliwa na nani?Mama amesema ndani ya siku 100 atakuwa amefanya mnabadiliko ya katiba pia ameamuru tume ya uchunguzi kufatilia kilichotokea Tanzania Oktober 29 na kuandaa utaratibu wa maridhiano ila yote haya ni kutafuta Amani tulioilinda Zaid ya miaka 60
Muuwaji anajichunguza vipi?
Maridhiano na nani?
TANGANYIKA NDIO MUHIMU KWETU
Kila mtu aende kwao!