PostGE2025 Siku 100 za Rais Samia Suluhu Hassan

PostGE2025 Siku 100 za Rais Samia Suluhu Hassan

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Alichosema ni kwamba, waliahidi jambo hilo wakati wa kampeni. Hata h8vyo, kutokana na vurugu zilizotokea wakati wa uchaguzi, ameunda tume ya kutambua kiini cha vurugu.

Tume itawezesha kuunda kamati ya maridhiano.

Maridhiano ndio yatafuatia kuanzisha mchakato wa katiba. Kwa hiyo, sio tena ndani ya siku 100 - hii ni kutokana na vurugu!
Tume ya nini kuchunguza nini wakati tatizo ni yeye mwenyewe hatakiwi wanataka tume huru
 
Mama amesema ndani ya siku 100 atakuwa amefanya mnabadiliko ya katiba pia ameamuru tume ya uchunguzi kufatilia kilichotokea Tanzania Oktober 29 na kuandaa utaratibu wa maridhiano ila yote haya ni kutafuta Amani tulioilinda Zaid ya miaka 60
Haya mambo yote kwanini hakuahidi kipindi cha kampeni?
 
Atachezea tu watu akili. Hakuna mabadiliko yoyote yale ya msingi yatafanyika. Ni kama tu alivyotuchezea akili kwenye Tu "huru" ya uchaguzi. Yaani bora hata ile ya mwanzo ilikuwa inaiba kura kwa staha, ukilinganisha na hii tume yao ya sasa.
 
Mama amesema ndani ya siku 100 atakuwa amefanya mnabadiliko ya katiba pia ameamuru tume ya uchunguzi kufatilia kilichotokea Tanzania Oktober 29 na kuandaa utaratibu wa maridhiano ila yote haya ni kutafuta Amani tulioilinda Zaid ya miaka 60
Mama gani!?
 
Si alishasema KATIBA ni KAJIKITABU!

Afya ya akili!
 
Mama amesema ndani ya siku 100 atakuwa amefanya mnabadiliko ya katiba pia ameamuru tume ya uchunguzi kufatilia kilichotokea Tanzania Oktober 29 na kuandaa utaratibu wa maridhiano ila yote haya ni kutafuta Amani tulioilinda Zaid ya miaka 60
Amani bila Haki. HADAA!!
UNAUA WEWE HALAFU UNAJICHUZA MWENYEWE...HADAA!!
 
Mama amesema ndani ya siku 100 atakuwa amefanya mnabadiliko ya katiba pia ameamuru tume ya uchunguzi kufatilia kilichotokea Tanzania Oktober 29 na kuandaa utaratibu wa maridhiano ila yote haya ni kutafuta Amani tulioilinda Zaid ya miaka 60
Mpaka uumize watu ndiyo utafute maridhiano? Ngoja kwanza vi Gen-Z vimalize kimuhemuhe mengine yatafuata baadaye!
 
Kamaanisha ILANI acha ujinga, katiba haina maana kama sheria hazifanyi kazi.
 
Tunarudi kulekule, kama ni suala la KATIBA basi atupe ile KATIBA ILIYOPENDEKEZWA NA WANANCHI chini ya Jaji Warioba

Maridhiano sidhani kama Wapinzani wapo tayari.
Vp ndg unaweza kuwa na hyo rasimu ya warioba niipitie na mm maana nimeitafuta sana bila mafanikio
 
Mama amesema ndani ya siku 100 atakuwa amefanya mnabadiliko ya katiba pia ameamuru tume ya uchunguzi kufatilia kilichotokea Tanzania Oktober 29 na kuandaa utaratibu wa maridhiano ila yote haya ni kutafuta Amani tulioilinda Zaid ya miaka 60
Hapo ningeona japo tu neno haki,dhamira ya kufanya hivyo ingepata japo kauzito,ila neno hili hili amani bado kunishawishi.
 
Mama amesema ndani ya siku 100 atakuwa amefanya mnabadiliko ya katiba pia ameamuru tume ya uchunguzi kufatilia kilichotokea Tanzania Oktober 29 na kuandaa utaratibu wa maridhiano ila yote haya ni kutafuta Amani tulioilinda Zaid ya miaka 60


Aliahidi kutimiza mambo mengi ndani ya siku 100, lakini sioni kama atatimiza.

Mpaka sasa hayupo kwenye focus ya kufanya yale aliyoahidi kutimiza ndani ya siku 100, badala yake naona wanapambana kuwafungulia kesi za uhaini raia walioandama.

Nilishangaa sana mwanasheria mkuu wa serikali mara tu baada ya kuapishwa alikuja kwa hasira kutangaza kwamba amepewa maagizo/maelekezo ambayo mojawapo ni kupambana na akina Mange badala ya kuanza kushughulikia yale waliyoahidi kufanya ndani ya siku 100.

Mungu ibariki Tanzania!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom