Ocampo four
JF Senior Expert Member
- Feb 28, 2014
- 5,789
- 2,159
1. Uhakika wa dawa na vifaa vya uzazi.
2. Umeme wa uhakika nchi nzima.
3. Kuanzisha mchakato wa katiba mpya.
4. Kupunguza foleni Dar-Es-Salaam na miji mikubwa.
5. Kuondoa kero kwa wafanya biashara ndogondogo (Machinga), Mamantilie na bodaboda.
6. Kuweka mipango kabambe ya Kumaliza tatizo la maji nchi nzima.
7. Mfumo bora na rafiki kwa wafanyabiashara wadogo na wakubwa.
8. Kufuta ada na michango kwa wanafunzi kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu.
9. Kupunguza kodi ya mshahara kwa wafanyakazi (PAYE).
10. Kufuta kodi zote za mazao kwa wakulima, wavuvi na wafugaji.
11. Mkakati wa kukuza michezo, sanaa na utamaduni.
12. Kuunda tume maalum ya kutatua migogoro ya wafugaji na wakulima.
13. Kuanzisha kituo kila wilaya kutoa huduma za serikali (one~stop centre).
14. Kuboresha maslahi ya watumishi wa vyombo vya usalama (polisi, wanajeshi, Takukuru). Kuboresha maslahi ya walimu, watumishi wa afya na watumishi wa serikali kwa ujumla.
15. Kuweka dira na mipango ya kuelekea katika uchumi wa kipato cha kati.
2. Umeme wa uhakika nchi nzima.
3. Kuanzisha mchakato wa katiba mpya.
4. Kupunguza foleni Dar-Es-Salaam na miji mikubwa.
5. Kuondoa kero kwa wafanya biashara ndogondogo (Machinga), Mamantilie na bodaboda.
6. Kuweka mipango kabambe ya Kumaliza tatizo la maji nchi nzima.
7. Mfumo bora na rafiki kwa wafanyabiashara wadogo na wakubwa.
8. Kufuta ada na michango kwa wanafunzi kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu.
9. Kupunguza kodi ya mshahara kwa wafanyakazi (PAYE).
10. Kufuta kodi zote za mazao kwa wakulima, wavuvi na wafugaji.
11. Mkakati wa kukuza michezo, sanaa na utamaduni.
12. Kuunda tume maalum ya kutatua migogoro ya wafugaji na wakulima.
13. Kuanzisha kituo kila wilaya kutoa huduma za serikali (one~stop centre).
14. Kuboresha maslahi ya watumishi wa vyombo vya usalama (polisi, wanajeshi, Takukuru). Kuboresha maslahi ya walimu, watumishi wa afya na watumishi wa serikali kwa ujumla.
15. Kuweka dira na mipango ya kuelekea katika uchumi wa kipato cha kati.