mfungwa
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 1,294
- 345
narrow minded
Your the one man. # hapa ni kazi tu.
narrow minded
1. Uhakika wa dawa na vifaa vya uzazi.
2. Umeme wa uhakika nchi nzima.
3. Kuanzisha mchakato wa katiba mpya.
4. Kupunguza foleni Dar-Es-Salaam na miji mikubwa.
5. Kuondoa kero kwa wafanya biashara ndogondogo (Machinga), Mamantilie na bodaboda.
6. Kuweka mipango kabambe ya Kumaliza tatizo la maji nchi nzima.
7. Mfumo bora na rafiki kwa wafanyabiashara wadogo na wakubwa.
8. Kufuta ada na michango kwa wanafunzi kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu.
9. Kupunguza kodi ya mshahara kwa wafanyakazi (PAYE).
10. Kufuta kodi zote za mazao kwa wakulima, wavuvi na wafugaji.
11. Mkakati wa kukuza michezo, sanaa na utamaduni.
12. Kuunda tume maalum ya kutatua migogoro ya wafugaji na wakulima.
13. Kuanzisha kituo kila wilaya kutoa huduma za serikali (one~stop centre).
14. Kuboresha maslahi ya watumishi wa vyombo vya usalama (polisi, wanajeshi, Takukuru). Kuboresha maslahi ya walimu, watumishi wa afya na watumishi wa serikali kwa ujumla.
15. Kuweka dira na mipango ya kuelekea katika uchumi wa kipato cha kati.
na hiyo ndani ya siku 100 asisahau kutuwekea na treni za umeme(sub way) ili na sisi tuwaringishie Kenya.
maana uwezo anao
1. Magufuli ameshalisemea sana hili la madawa kwenye hospitali za serikali. Lowasa kacopy tu kwa mzee wa push up
1. Uhakika wa dawa na vifaa vya uzazi.
2. Umeme wa uhakika nchi nzima.
3. Kuanzisha mchakato wa katiba mpya.
4. Kupunguza foleni Dar-Es-Salaam na miji mikubwa.
siku 100 za kuanzishisha mikakati na michakatosiku 100 hazitoshi.
ww ni kati ya walio athirika na elimu, kwa taarifa yako, raisi yyte duniani anaipimwa uongozi wake kwa siku 100 za mwanzo juh..a we..Hatuhitaji mtu ambaye utawala wake ni wa siku 100 tu. kiongozi mzuri ni yule anayepanga mikakati ya zaidi ya muongo mmoja
Mabadiliko Lowassa!!!!Lowassa mabadiliko!!!!
Mpaka sasa chadema imewafanyia nini.
Mpaka sasa chadema imewafanyia nini.
Kwani Chadema ndiyo yenye mamlaka juu ya nchi hii? Wizara ya ajira na inayohusika na maendeleo ya vijana imefanya nini?
Imekujuma nyosso huna akili we we ifanye nini kwani ina serikal?Mpaka sasa chadema imewafanyia nini.
sasa kelele za nini si mkae kimya kama hamna mlilowafanyia