Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,031
Wapendwa sikio kuuma bila kutoa usaha, na kuwa na dalili za uvimbe kwa ndani kwa chini. Mshikaji kaenda kwa wataalamu wa ENT mara nyingi na haisaidii. Kaambiwa mpaka atumie mafuta ya kuku, ametumia lakini imeshindikana. anasema akijaribu kusafisha sikio kusafisha anaona damu kidogo.
ushauri tafadhali.
ushauri tafadhali.