Sikiliza Bunge Live hapa.........linaendelea

Sikiliza Bunge Live hapa.........linaendelea

Ngoja niandae kabisa vidonge vya kupunguza presha na maumivu maana leo huko mjengoni...
 
Anaelezea sakata la Loliondo from the historical point of view.
 
Nin ngumu kaka lakini inategemea ni simu gani....Nokia Lumia au Samusang..........unanielewa????Mutabanzibwa......au na mie najibu Manyiiiiiiiiiiii.......kwa kifipa Sijui

Natumia Samsung Galaxy Note II imegoma man!
 
Uchangiaji umejikita kwenye tuhuma dhidi ya Katibu wa CCM.

Mchangiaji wa kwanza anasema kuwa agents anamwakilisha mwenye meli.

Anasema kuwa clearing and forwarding ndiyo wanaopelela mizigo bandarini ambapo ndo kunapofanyika ukaguzi.

Anadai kuwa katika upekuzi hausiki shipping agency.

Kuna mbunge sijui wa upinzani anaomba mwongozo kaambiwa na spika akae chini.

Mchangiaji anaendelea kusema kuwa Kinana hauhusiki na hizo tuhuma.

Anasema watuhumiwa wameshapelekwa mahakamani na amewataja majina.

Lakini kesi imeondolewa mahakamani baaada ya kukosekana kwa ushahidi.

Sasabu Tanzania haina mkataba wa ushirikiano na Vietnam wa ku-share information.

Anasema ni bora mchawi kuliko mwongo.
 
Prof. Kapuya kama kawaida anaunga hoja kwa asilimia 100.

Kama kawaida ya wabunge wengine baada ya kuunga hoja kwa asilimia 100 Prof. Kapuya anaanza tena kuelezea kasoro zilizomo kwenye hoja ya Waziri.
 
kumbe tz kuna viboko wanaoongea na watu lindi?
 
mdau mbona saa hii napata staa tv, tafadhali km una link ingine itupie hapa
 
Back
Top Bottom