Sijui yukoje huyu dada

Sijui yukoje huyu dada

Hata hueleweki, mapenzi si ya kulazimisha, kajipange upya, acha mambo ya ubashite
 
Wengi mnashindwa kutoa ushauri, mnafanya mashambulizi ya kumkatisha tamaa.

Mimi nakushauri usichoke, usiwe mwepesi wa kukata tamaa asiyekupenda mng'ang'anie mpaka akupende. Wakati ukiendelea kuwa mtiifu kwake tafuta msichana mwingine halafu waweke kwenye mizani
 
mkuu achana nae tafuta mwengine mm ke mwrnye dharau huwa namwambuaga unaringa,INA TV ndani?
 
Fanya hivi we tia muamala asubuhi usiongee mchana tia muamala usibweke jion tia muamala usibweke fanya km week tu akiruka hapo uyo ni shetan mkata kamba
 
Ukiona zako sinasomwa alafu hakujibu ujue kakudhalau jiangalie kwanza wewe utapata magonjwa ya moyo kisa mtu uliyemkuta na meno.yote
Haaaaaaa alafu wanaume wa hivi hata akiambiwa arushe elfu kumi atakuja na uzi mwingine humu
 
Fanya hivi we tia muamala asubuhi usiongee mchana tia muamala usibweke jion tia muamala usibweke fanya km week tu akiruka hapo uyo ni shetan mkata kamba
Hapo itapendwa miamala sasa na sio mtu
 
Kwa hyo km amekwambia ufute namba zake INA maana hujui option za kufuta namba za MTU kwenye cm mpaka uje jf kuomba ushauri.
 
wakuu, kuna binti nlikuwa namuelewa so ikabidi nimfate nimueleze kilicho rohoni mwangu, basi mtoto akawa anarukaruka, anajidai mara sms hajibu, na mambo mengi tulianza taratibu kuzoeana lakini shobo kwa huyu dada haziishi sasa jana nkawa watsap nkamuona online nkam-text, hakujbu akawa anatoka anaingia nkamtext tena kimya ila hyo tabia waga anayo, nkamuambia acha dharau, lol mtoto kanibadilikia kapanic kasema na namba yake nifute,na ukweli nampenda je nifanyeje? maana binti kashantakia maisha mema
Mrejesho please
 
Ahahahaaaaaa hizi comments za wadau ni burudani tosha
 
wakuu, kuna binti nlikuwa namuelewa so ikabidi nimfate nimueleze kilicho rohoni mwangu, basi mtoto akawa anarukaruka, anajidai mara sms hajibu, na mambo mengi tulianza taratibu kuzoeana lakini shobo kwa huyu dada haziishi sasa jana nkawa watsap nkamuona online nkam-text, hakujbu akawa anatoka anaingia nkamtext tena kimya ila hyo tabia waga anayo, nkamuambia acha dharau, lol mtoto kanibadilikia kapanic kasema na namba yake nifute,na ukweli nampenda je nifanyeje? maana binti kashantakia maisha mema
wewe utakuwa under 17 ....unamwambiaje aache dharau,,...hapo hujamuimpress bado......unapanic kabla hata hajakujibu text ushamshambulia aache dharau...we umejishtukia..sio lazima akujibu...AAA NILISAHAU KUMBE UMEPENDA AA SIO KOSA LAKO
 
Back
Top Bottom