Sijui yukoje huyu dada

Sijui yukoje huyu dada

wakuu, kuna binti nlikuwa namuelewa so ikabidi nimfate nimueleze kilicho rohoni mwangu, basi mtoto akawa anarukaruka, anajidai mara sms hajibu, na mambo mengi tulianza taratibu kuzoeana lakini shobo kwa huyu dada haziishi sasa jana nkawa watsap nkamuona online nkam-text, hakujbu akawa anatoka anaingia nkamtext tena kimya ila hyo tabia waga anayo, nkamuambia acha dharau, lol mtoto kanibadilikia kapanic kasema na namba yake nifute,na ukweli nampenda je nifanyeje? maana binti kashantakia maisha mema
Sasa man... nini tatizo....? Muache.. endelea na maisha yako
 
wakuu, kuna binti nlikuwa namuelewa so ikabidi nimfate nimueleze kilicho rohoni mwangu, basi mtoto akawa anarukaruka, anajidai mara sms hajibu, na mambo mengi tulianza taratibu kuzoeana lakini shobo kwa huyu dada haziishi sasa jana nkawa watsap nkamuona online nkam-text, hakujbu akawa anatoka anaingia nkamtext tena kimya ila hyo tabia waga anayo, nkamuambia acha dharau, lol mtoto kanibadilikia kapanic kasema na namba yake nifute,na ukweli nampenda je nifanyeje? maana binti kashantakia maisha mema
"Dada,binti,mtoto" mbona sikuelewi
 
Ukiona zako sinasomwa alafu hakujibu ujue kakudhalau jiangalie kwanza wewe utapata magonjwa ya moyo kisa mtu uliyemkuta na meno.yote
 
Sio kila Uzi unafaa kuletwa JF,
Think critically kabla hujaleta mada yako.
Ushauri: Kajitambulishe kwao kuwa unahitaji kumuoa utapomaliza Masomo yako.
Nakutakia njema
 
Mkuu kwanza unajiita BOY wewe mwenyewe. Sasa kama umeambiwa ufute namba unaing'ang'ania ya nini?

Futa namba, fanya mambo yako ya msingi, kama mwanamke tafuta mwingine.

Kuhusu dharau inawezekana akawa anakudharau peke yako kwa sababu ya mambo yako.
kamsaidie kufuta ye hawezi.
 
Ameshakwambia anakutakia maisha mema unasubiria nini?? Au unataka umjibu YOU TOO??
Acha kuugua mapenzi kijanaa, tafuta Demu mwingine huyo hakufai
 
Hahahaaas achana nae baba atakutia presha bure tu haswa akijua umempenda Sana ndo kiburi kinazidi @mm mwenyewe nimeachana na manzi mmoja juzi kwa tabia hizo hizo
 
jf expert member gani wewe unaumizwa kichwa na kasichana kadogo kabisa hako.achana nae ana mtu wake anae mpenda hakupendi wewe
 
Futa Mkuu... mbona unaleta uboya wenu Mpk humuuu...
 
Back
Top Bottom