Sasa man... nini tatizo....? Muache.. endelea na maisha yakowakuu, kuna binti nlikuwa namuelewa so ikabidi nimfate nimueleze kilicho rohoni mwangu, basi mtoto akawa anarukaruka, anajidai mara sms hajibu, na mambo mengi tulianza taratibu kuzoeana lakini shobo kwa huyu dada haziishi sasa jana nkawa watsap nkamuona online nkam-text, hakujbu akawa anatoka anaingia nkamtext tena kimya ila hyo tabia waga anayo, nkamuambia acha dharau, lol mtoto kanibadilikia kapanic kasema na namba yake nifute,na ukweli nampenda je nifanyeje? maana binti kashantakia maisha mema
Aende mchikichini huyoMtegetwa na ustadhi si ni advance kaka, huyu form 3... ndio umri.wao
Arudi siomnafungua lini shule?
"Dada,binti,mtoto" mbona sikuelewiwakuu, kuna binti nlikuwa namuelewa so ikabidi nimfate nimueleze kilicho rohoni mwangu, basi mtoto akawa anarukaruka, anajidai mara sms hajibu, na mambo mengi tulianza taratibu kuzoeana lakini shobo kwa huyu dada haziishi sasa jana nkawa watsap nkamuona online nkam-text, hakujbu akawa anatoka anaingia nkamtext tena kimya ila hyo tabia waga anayo, nkamuambia acha dharau, lol mtoto kanibadilikia kapanic kasema na namba yake nifute,na ukweli nampenda je nifanyeje? maana binti kashantakia maisha mema
Mkuu kwanza unajiita BOY wewe mwenyewe. Sasa kama umeambiwa ufute namba unaing'ang'ania ya nini?
Futa namba, fanya mambo yako ya msingi, kama mwanamke tafuta mwingine.
Kuhusu dharau inawezekana akawa anakudharau peke yako kwa sababu ya mambo yako.



kamsaidie kufuta ye hawezi.