Sijui nitatokaje hapa


Well said! Umeshauri kwa hekima zaidi!
 
Mapenzi ya kuanza uzeeni yana taabu sana
 
owkey...thanx,..kwa wote mliochangia kwa namna 1 ama nyingine mmenisaidia kufanya maamuzi magumu!
....jf idumu daima....
 

Sijakuelewa

Nini maana ya kutumika?
 
Swali zuri sana kibibi Jongoo bora uulize wewe hivi wanaume wanajisikiaje wakianza kuambiwa wanapendwa au tuanzishe uzi huo?
 
Ukichelewa, wengine watamwahi kwahiyo fanya haraka mwambie ukweli,mwanaume husikia raha mno anapoambiwa,nakupenda.

Wachache huwa wanalijua na kulipa uzito wake, waliobaki ata-take adivantage ya kukufunua funua 2,akishapata anaemyaka yy akuache! Maumivu yanakuwa +++
 
Swali zuri sana kibibi Jongoo bora uulize wewe hivi wanaume wanajisikiaje wakianza kuambiwa wanapendwa au tuanzishe uzi huo?

Yap nadhani ni vizuri kuanzisha uzi huo.... Ili watu wawe huru na feelings zao! Ona Xriss anavoteseka!
 
K inaweza kutumika bila dishelele kutumika?

Halafu Eiyer bana,yaani unailiza wakati ndo nyie wa kwanza kusema mtu(gals) wametumika sana,kwani mkisema hivyo huwa mna maana hyo penis haikutumika?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…