Sijui nimfanyeje huyu rafiki yangu

Sijui nimfanyeje huyu rafiki yangu

Eeeehh?
Sasa Samweli naona tunadhalilishana.

Si ungeniambia tu kuwa huniamini? Sio sawa kuja kuaibishana huku. Sina haja na msichana wako. Kwanza in fact, yeye ndio ananitaka.
 
Hi, you guys..namaste...
Tuanzie hapa,

Mie naishi Dar es Salaam, niko single. Lakini kwa sasa nipo nje ya nchi kikazi.

Toka nitoke Tanzania ni karibu miezi saba sasa. Kipindi nipo Tz nlikua na marafiki but wote walikua watu wazima namaana wamenizidi sana umri, mimi nina 30 but all wana 45 plus.

Hii nilifanya kusudi kutokana na kutoamini urafiki wa vijana wenzangu kwani nliamini umejaa vishawishi na upotoshanaji tu. Na nliamini ntajifunza kutoka kwa hao marafiki wtu wazuma walipokosea mie nisipapite.

So..Nlikua na girl friend ambaye alikua anakuja kwangu most of the wekend time.

Huyu rafiki yangu ambaye aliwahi kufanya kazi kwenye mashirika ya dini alikua karibu na mimi na alinishauri nisiachane na huyu binti kwani alionekana ni mtulivu.

Basi time nachomoka TZ nlimuachia rafiki funguo za nyumba yangu because ni jirani yangu na pia funguo za gari langu, kiufupi ni mtu niliekua namwamini saana. Baada ya muda kupita akaanza kunidis appoint kwa kumiss use gari langu, then nkaamua aliuze ili nkirudi TZ ninunue lingine. Ikawa solved.

Yule binti akawa anaenda kwangu kwa ajili ya kufanya usafi kila mwisho wa mwezi, but kama miezi miwili iliyopita akakuta mipira ya kiume iliyotumika chumbani kwangu, means kuna mtu amefanya mapenzi chumbani kwangu, that friend akamwambia ni mgeni wake ndio alilala huko so mgeni ndio atakua amefanya uchafu huo, demu akanambia but sikuona kama ni issue nkachukulia poa.
Sakata likaanza, juzi wakati wa Valentine rafiki akamwomba binti watoke out, binti hakumpa jibu but alinifahamisha mimi nkamwambia haina tatizo labda ni kwa wema tu, mchana wa siku ya valentine jamaa akamtumia binti hela kwa mobile money, binti akanitaarifu. Then kengele ya hatari ikalia kichwani kwangu but sikumwambia binti lolote.

Usiku wa valentine, jamaa akamwita binti kwenye majira ya saa nne usiku, binti akaninipigi na kuweka simu hewani, nkamsikia jamaa. Jamaa akampabinti hela nyingi tu, then akamwambia achukue usafiri amfuate Mahali kwa ajili ya Dina, Binti akarudi kwao, nkamwambia aende yeye akakataa...asubuh ya pili baada ya valentine akakuta sms za rafiki akilaumu kwanini hajaenda.

Note that, Jamaa familia yake iko mkoa ana mke na watoto na binti ana age 21yrs...
So, nifanyeje wa JF?

Mimi sioni tatizo binti katakiwa kakataa hiyo ndiyo poa kabisa; jamaa kaomba kanyimwa si yanaisha? kutongozwa mwanamke hata na jini mbona kaaida tuuu muhimu msimamo kama demu wako alioonyesha.Endeleeni na urafiki wala usijali chungu iko shingoni mwake mwenyewe na atakuogopa siku zote hatasogelea tena demu wako anajua wewe kiboko.
 
Mleta mada wewe mwenyewe hovyo

Unamwachia rafiki nyumba yako na gari?

Huna ndugu wewe?

Kama huna si ungemuachia mpenzi wako?

Ndo matokeo ya kuamini watu baki hayo

Pole yako
 
fimbo ya mbali haiui nyoka.

pili huyo dem wako mkuda; unafikiri wanaomtongoza akakubali kugegedwa anakwambia???? Miezi saba ni mingi sana kwa dem anayekula vizuri alafu akae bila kusuguliwa hiyo kitu.
 
Your girlfriend is a good girl. Weka ndani before she turns wild
 
fimbo ya mbali haiui nyoka.

pili huyo dem wako mkuda; unafikiri wanaomtongoza akakubali kugegedwa anakwambia???? Miezi saba ni mingi sana kwa dem anayekula vizuri alafu akae bila kusuguliwa hiyo kitu.

You are so wrong!!

Some of us are very faithful and can last ages without having extramarital affairs.
 
Dar sina ndugu,
Sisi tuko wawili tu kwenye familia yangu, mama alifariki then niko na pacha wangu na baba. yeye kaolewa huko huko mkoani, yuko bize na kazi zake na familia yake. kuacha funguo haikua uamuzi sahihi lakini ilinibidi sababu ya mazingira wakati naondoka tz.

ah,haya bhana nimekuelewa,pole ya mama,maumivu yake nayajua kwan hata mama angu nae tayar keshatangulia lakn ndo njia hyo hyo moja tutapita wote!!..huyo sio rafiki lakn ucwake kwanza amalize kazi yako,other time ukisafiri unaniachia mimi funguo,ntaku2nzia!
 
Mimi sioni tatizo binti katakiwa kakataa hiyo ndiyo poa kabisa; jamaa kaomba kanyimwa si yanaisha? kutongozwa mwanamke hata na jini mbona kaaida tuuu muhimu msimamo kama demu wako alioonyesha.Endeleeni na urafiki wala usijali chungu iko shingoni mwake mwenyewe na atakuogopa siku zote hatasogelea tena demu wako anajua wewe kiboko.

Sasa hiki ndo kilichokufanya u quote li mada looooote?
 
Oh yes.I can attest to this.

Could be change in a positive way, or a negative one.

images
 
uuuuupsi dikembe pole sana bt

a real boy huwezi kuweka mazingira hatariShi kwa mpenzio unayempenda,for the tme being ulipoondoka Tz hakuwa official mpenzio now ni mpenzio mwamin mpe funguo ...why cant u learn from mistake eti mlokole lakin alifanya misuse na gari lako hadi ukaliuza leo yeye leo ndo huyo anamtaka mpenzio<black tell him kiufasaha na busara kuwa funguo amkabithi mpenzio

Eti unaogopa ndugu wakija dar mpnzio akiwapa funguo ya rum???/,kwani hyo mwanaume ni nduguyo?????wote sii ndugu zako now mpe mpenzio funguo na umwambie akae mbali na jamaa lke medicine WEKA MBALI NA WATOTO
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom