Hi, you guys..namaste...
Tuanzie hapa,
Mie naishi Dar es Salaam, niko single. Lakini kwa sasa nipo nje ya nchi kikazi.
Toka nitoke Tanzania ni karibu miezi saba sasa. Kipindi nipo Tz nlikua na marafiki but wote walikua watu wazima namaana wamenizidi sana umri, mimi nina 30 but all wana 45 plus.
Hii nilifanya kusudi kutokana na kutoamini urafiki wa vijana wenzangu kwani nliamini umejaa vishawishi na upotoshanaji tu. Na nliamini ntajifunza kutoka kwa hao marafiki wtu wazuma walipokosea mie nisipapite.
So..Nlikua na girl friend ambaye alikua anakuja kwangu most of the wekend time.
Huyu rafiki yangu ambaye aliwahi kufanya kazi kwenye mashirika ya dini alikua karibu na mimi na alinishauri nisiachane na huyu binti kwani alionekana ni mtulivu.
Basi time nachomoka TZ nlimuachia rafiki funguo za nyumba yangu because ni jirani yangu na pia funguo za gari langu, kiufupi ni mtu niliekua namwamini saana. Baada ya muda kupita akaanza kunidis appoint kwa kumiss use gari langu, then nkaamua aliuze ili nkirudi TZ ninunue lingine. Ikawa solved.
Yule binti akawa anaenda kwangu kwa ajili ya kufanya usafi kila mwisho wa mwezi, but kama miezi miwili iliyopita akakuta mipira ya kiume iliyotumika chumbani kwangu, means kuna mtu amefanya mapenzi chumbani kwangu, that friend akamwambia ni mgeni wake ndio alilala huko so mgeni ndio atakua amefanya uchafu huo, demu akanambia but sikuona kama ni issue nkachukulia poa.
Sakata likaanza, juzi wakati wa Valentine rafiki akamwomba binti watoke out, binti hakumpa jibu but alinifahamisha mimi nkamwambia haina tatizo labda ni kwa wema tu, mchana wa siku ya valentine jamaa akamtumia binti hela kwa mobile money, binti akanitaarifu. Then kengele ya hatari ikalia kichwani kwangu but sikumwambia binti lolote.
Usiku wa valentine, jamaa akamwita binti kwenye majira ya saa nne usiku, binti akaninipigi na kuweka simu hewani, nkamsikia jamaa. Jamaa akampabinti hela nyingi tu, then akamwambia achukue usafiri amfuate Mahali kwa ajili ya Dina, Binti akarudi kwao, nkamwambia aende yeye akakataa...asubuh ya pili baada ya valentine akakuta sms za rafiki akilaumu kwanini hajaenda.
Note that, Jamaa familia yake iko mkoa ana mke na watoto na binti ana age 21yrs...
So, nifanyeje wa JF?