Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,084
Wakuu hapa majuzi kati wakati natoka job naelekea hom majilan fulani hivi ya jion nipo zangu kwa miguu
Mara Kigari kikanipigia honi na kusimama kikitoa ishara niende
Basi nikasogelea hadi hapo
Nilivyo fika pale kuangalia kwenye hiyo gari nimekutana na mmama
Akaniuliza unaelekea wapi nikajibu hom
Akaniomba nimpe kampani kwa kupanda gari yake mzee mzima ni kapanda basi stoli za hapa na pale
Zikaendelea mwisho wa siku tukafika maeneo nikamwambia niachie hapa tukaagana vizuri
Nilichoshangazwa jana katuma text kaka nipigie alafu nikichek namba ngeni nikapiga akajitambulisha mi mtu flan nakuanza kunipa sifa kedeked afu akakata simu
Sikupata muda wa kumuuliza namba umepata wap maana sikuwahi kumpa
Leo tena kanichek kaniuliza uko wapi nikajibu hom akaniambia kaka nina shida nikamuuliza shida gani akasema wewe mtu mzima bhana chukua boda au tax njoo hom utakuja kujua
sasa hapa nipo njia panda sijui niende au nimpotezee ?
Kwenu wakuu
Wazee wa uzi bila picha haunogi ila Baadhi ya text- nimefutaView attachment 2047675
MREJESHO basi katika kusoma maoni ya wadau ikabidi nivae bomu nikamcheki nikamwambia sina nauli siwezi kuja akaniambia na kutumia basi nikatumiwa
Mpesa kama tsh50 elfu sikwenda kutoa coz ninausafir wangu nikachukua li xxl langu nikatafuta wana wawili nikaenda nao kabla sijafika karibu na mjengo alionielekeza nikawaacha jamaa na kuwapa maelezo mkiona nawabipu mje au mtoe taarifa
Basi nimefika getin nikapiga hodi nikafungulia na mlinzi kidume nikazama ndani kufika ndani nikamkuta mmama kanikalibisha kwa ukarimu
Akaniuliza unatumia kinywaji gani
Asee nilikuwa makini nikamwambia niko sawa
Akaanza nielekeza bwana samahani kwa kukusumbua kiufupi nimetokea kukuelewa sana na nimekufuatilia muda mrefu sana na nilikuwa nawaza nakuanzia wapi na hata hivyo nimevaa ujasiri huu sababu nimetumia kileo
Mr bann kwenye ile kampuni unayofanyika kazi mm ndio muhusika wenu ila huwa sipendigi kujionyesha hata muda ninaokujaga ww unakuwaga umesafiri
Ila kiufupi una sifa za kipekee sana sio siri nimekupenda na sio leo ni tokea unaanza kazi pale
Bas nikakumbuka maana nishawai pata taarifa zake mwanzo ila simkufuatilia sana kutokana na muda mwingi mm ni mtu wa masafa
Basi nikajikuta niko free baada ya kujilidhisha akaniandalia chakula nikapiga tukaenjoy hapa na pale
Japo yeye alitaka gem na mm nikamwambia leo siko vizuri akanielewa na sio nilikuwa niko ovyo kuna wadau humu walinionya nisije kuliwa
Akaniambia kuanzia leo hapa ni kwako muda wowote njoo iwe saa nane usiku au saa mbili na kesho naomba tukutane ofisini kuna sapplaiz nataka nikupe
Mwanaume nikaaga akanisindikiza na kuniacha na neno usisahau ya kuwa nakupenda
Nikapitia jamaa zangu huyo hom
Hivyo tu wakuu
leo asubuhi nimepigiwa simu na meneja naitajika kazini kuna dharura ........
Mara Kigari kikanipigia honi na kusimama kikitoa ishara niende
Basi nikasogelea hadi hapo
Nilivyo fika pale kuangalia kwenye hiyo gari nimekutana na mmama
Akaniuliza unaelekea wapi nikajibu hom
Akaniomba nimpe kampani kwa kupanda gari yake mzee mzima ni kapanda basi stoli za hapa na pale
Zikaendelea mwisho wa siku tukafika maeneo nikamwambia niachie hapa tukaagana vizuri
Nilichoshangazwa jana katuma text kaka nipigie alafu nikichek namba ngeni nikapiga akajitambulisha mi mtu flan nakuanza kunipa sifa kedeked afu akakata simu
Sikupata muda wa kumuuliza namba umepata wap maana sikuwahi kumpa
Leo tena kanichek kaniuliza uko wapi nikajibu hom akaniambia kaka nina shida nikamuuliza shida gani akasema wewe mtu mzima bhana chukua boda au tax njoo hom utakuja kujua
sasa hapa nipo njia panda sijui niende au nimpotezee ?
Kwenu wakuu
Wazee wa uzi bila picha haunogi ila Baadhi ya text- nimefutaView attachment 2047675
MREJESHO basi katika kusoma maoni ya wadau ikabidi nivae bomu nikamcheki nikamwambia sina nauli siwezi kuja akaniambia na kutumia basi nikatumiwa
Mpesa kama tsh50 elfu sikwenda kutoa coz ninausafir wangu nikachukua li xxl langu nikatafuta wana wawili nikaenda nao kabla sijafika karibu na mjengo alionielekeza nikawaacha jamaa na kuwapa maelezo mkiona nawabipu mje au mtoe taarifa
Basi nimefika getin nikapiga hodi nikafungulia na mlinzi kidume nikazama ndani kufika ndani nikamkuta mmama kanikalibisha kwa ukarimu
Akaniuliza unatumia kinywaji gani
Asee nilikuwa makini nikamwambia niko sawa
Akaanza nielekeza bwana samahani kwa kukusumbua kiufupi nimetokea kukuelewa sana na nimekufuatilia muda mrefu sana na nilikuwa nawaza nakuanzia wapi na hata hivyo nimevaa ujasiri huu sababu nimetumia kileo
Mr bann kwenye ile kampuni unayofanyika kazi mm ndio muhusika wenu ila huwa sipendigi kujionyesha hata muda ninaokujaga ww unakuwaga umesafiri
Ila kiufupi una sifa za kipekee sana sio siri nimekupenda na sio leo ni tokea unaanza kazi pale
Bas nikakumbuka maana nishawai pata taarifa zake mwanzo ila simkufuatilia sana kutokana na muda mwingi mm ni mtu wa masafa
Basi nikajikuta niko free baada ya kujilidhisha akaniandalia chakula nikapiga tukaenjoy hapa na pale
Japo yeye alitaka gem na mm nikamwambia leo siko vizuri akanielewa na sio nilikuwa niko ovyo kuna wadau humu walinionya nisije kuliwa
Akaniambia kuanzia leo hapa ni kwako muda wowote njoo iwe saa nane usiku au saa mbili na kesho naomba tukutane ofisini kuna sapplaiz nataka nikupe
Mwanaume nikaaga akanisindikiza na kuniacha na neno usisahau ya kuwa nakupenda
Nikapitia jamaa zangu huyo hom
Hivyo tu wakuu
leo asubuhi nimepigiwa simu na meneja naitajika kazini kuna dharura ........