Sijui nifanyaje mimi...

Duniani pana mengi
 
UTAKUWA UMERUDI Siku sio nyingi kutoka china,,,,,USHACHOKOLEWA.
 
Utoto kama huu ndo unafanya siku hizi jf pamekuwa kama fb, wajhisika hamzuioni hizi kweli maana mtutu anakuja kupost utoto wake halafu anaachwa tu ili aendeleze utoto wake, SAWA HIYO CHAI YAKO UMEWEKA CHUMVI BADALA YA SUKARI!!!
 
kuna mambo unasoma unajenga picha kichwani aliye yazungumza ana akili gani unaishia kucheka.

ukisoma michango ya wadau unacheka zaidi maana wana tema cheche hatari ila mtoa mada anajibu fresh tu
 
kuna mambo unasoma unajenga picha kichwani aliye yazungumza ana akili gani unaishia kucheka.

ukisoma michango ya wadau unacheka zaidi maana wana tema cheche hatari ila mtoa mada anajibu fresh tu
Jamaa yupo simple tu
 
Kwa kifupi ni kwamba huyo mpenzi wako hakupendi wewe anampenda huyo mlemavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…