Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,542
- 6,490
Ipo hivi, mwezi wa 10 mwaka jana nilitembelewa na mwanadada mmoja mzuri wa Kichaga ofisini kwangu.
Nikamuhudumia vizuri na nikampa namba kwa lengo la kunipigia tena pindi atakapotaka huduma zilizomleta ofisini.
Kiukweli, yule mdada nilivyomuona nilimtamani sana, ila nashangaa baada ya kama masaa mawili kupita nikaona namba ngeni ikinipigia. Nikamuuliza nani, akasema mimi ni yule mdada niliyokuja ofisini muda fulani. Nikasema sawa, basi akanishukuru kwa huduma nzuri, nikasema sawa.
Baadaye tena akaanza kunichat mambo kibao, nikaona huyu mdada atakuwa ananitaka. Basi kufupisha stori, ni kwamba huyu mdada anaishi na mwanaume, lakini huyo mwanaume hapigi mashine, anaweza kaa hata miezi mitatu ndipo akaomba, na akipewa anaipiga kwa tabu sana, inasemekana yupo na matatizo. Basi yule dada nikaanza kudate naye.
Sasa kwa bahati mbaya, mwezi wa 12 niliichapa sana mpaka kuna siku nikamtia mimba. Basi sasa mdada anataka niishi naye, na mimi sina lengo la kumuoa. Huyo mdada hana mtoto, lakini muonekano wake tayari ni kama mshangazi fulani, halafu pia ana mwili mkubwa na yupo na miaka 28.
Na ananipenda sana, mara zote anataka kuwa kwangu. Inabidi nimpige chenga. Na kitu kingine kibaya, mwamba anayeishi naye hatungi mimba kwa maelezo ya dem, maana wamesha kaa miaka miwili hakuna kitu.
Sasa nawaza, ile jamaa akija stukia mchezo akimfukuza huyo dem, mimi nitamuweka wapi, kwa sababu tayari nina mchumba wangu na huyu ana mimba yangu. Nashindwa nifanyeje ndugu zangu, yaani najuta sana kudate na huyo manzi.
Mwisho, tuacheni tamaa. Kiukweli, nyapu ni ile ile, sema tu tamaa zetu huwa zinatuponza. Kiukweli nimekwama, hata sijui la kufanya.
Soma Pia:
Nikamuhudumia vizuri na nikampa namba kwa lengo la kunipigia tena pindi atakapotaka huduma zilizomleta ofisini.
Kiukweli, yule mdada nilivyomuona nilimtamani sana, ila nashangaa baada ya kama masaa mawili kupita nikaona namba ngeni ikinipigia. Nikamuuliza nani, akasema mimi ni yule mdada niliyokuja ofisini muda fulani. Nikasema sawa, basi akanishukuru kwa huduma nzuri, nikasema sawa.
Baadaye tena akaanza kunichat mambo kibao, nikaona huyu mdada atakuwa ananitaka. Basi kufupisha stori, ni kwamba huyu mdada anaishi na mwanaume, lakini huyo mwanaume hapigi mashine, anaweza kaa hata miezi mitatu ndipo akaomba, na akipewa anaipiga kwa tabu sana, inasemekana yupo na matatizo. Basi yule dada nikaanza kudate naye.
Sasa kwa bahati mbaya, mwezi wa 12 niliichapa sana mpaka kuna siku nikamtia mimba. Basi sasa mdada anataka niishi naye, na mimi sina lengo la kumuoa. Huyo mdada hana mtoto, lakini muonekano wake tayari ni kama mshangazi fulani, halafu pia ana mwili mkubwa na yupo na miaka 28.
Na ananipenda sana, mara zote anataka kuwa kwangu. Inabidi nimpige chenga. Na kitu kingine kibaya, mwamba anayeishi naye hatungi mimba kwa maelezo ya dem, maana wamesha kaa miaka miwili hakuna kitu.
Sasa nawaza, ile jamaa akija stukia mchezo akimfukuza huyo dem, mimi nitamuweka wapi, kwa sababu tayari nina mchumba wangu na huyu ana mimba yangu. Nashindwa nifanyeje ndugu zangu, yaani najuta sana kudate na huyo manzi.
Mwisho, tuacheni tamaa. Kiukweli, nyapu ni ile ile, sema tu tamaa zetu huwa zinatuponza. Kiukweli nimekwama, hata sijui la kufanya.
Soma Pia: