miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,967
duh ndio nachotaka kujua nini sababu kama kuna kitu anakosa aniambie ni nini ili kama kiko ndani ya uwezo wangu kukifanya au kutekeleza basi nifanye
sasa mwenzio anashindwa au amekuchoka sasa anashindwa asemeje ila kikweli usilazimishe mapenzi kabisa.....kama unaweza just chilll uone mwisho wake ni nini? iila usilazimishe kabisa kukubaliana na wewe.........