Sijui Ndio Kupishana na Bahati Huku?

Sijui Ndio Kupishana na Bahati Huku?

Usedcountrynewpipo

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
3,636
Reaction score
2,731
Yani siku nikiwa kwa mguu au nikpanda dala dala huwa sibahatiki kukutana na 'watoto wazuri' tabu nikiwa kwenye private Car, ndio nawaona waleee! Na hivi breki zenyewe za kupampu pampu, mpaka nisimame unakuta mtoto keshapotea. Sasa sijui ndio kupishana na bahati kwenyewe huku?​
 
Yani siku nikiwa kwa mguu au nikpanda dala dala huwa sibahatiki kukutana na 'watoto wazuri' tabu nikiwa kwenye private Car, ndio nawaona waleee! Na hivi breki zenyewe za kupampu pampu, mpaka nisimame unakuta mtoto keshapotea. Sasa sijui ndio kupishana na bahati kwenyewe huku?​

Hahah kweli huna bahati bro
 
mkuu,amua tu kutembea kwa mguu na daladala utabahatika
 
anajua kuendesha na anatumia gari la shemegi yake....
 
Yani siku nikiwa kwa mguu au nikpanda dala dala huwa sibahatiki kukutana na 'watoto wazuri' tabu nikiwa kwenye private Car, ndio nawaona waleee! Na hivi breki zenyewe za kupampu pampu, mpaka nisimame unakuta mtoto keshapotea. Sasa sijui ndio kupishana na bahati kwenyewe huku?​

Ukute gari sio lako ndo maana. Ahahaaa
Lakini huenda ukawa unapishana na majanga, Usishangae.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom