Oke nishaanza kupata picha kwanini Ombeni Sefue ALITUMBULIWA kwa maelezo atapangiwa kazi kazi ila mpaka leo Kimya.Mie Wallahi sijawahi kukutana na Msafara wa Mama Janeth!
Misafara ya Mama Salma na Mama Anna imeshanigandisha sana kwny foleni!
Kwny Picha ya Pamoja baada ya kuapishwa Cabinet ilibidi Ombeni Sefue anyanyuke na Kumwita Janeth apate Picha ya Pamoja na Mzee wakat huo Mzee Mwenyewe Hana time nae kabisa na Janeth kajikunyata Pembeni Kama vile mzamiaji wa Shughuli!
May be Mzee hataki kuidhinisha Janeth aanzishiwe NGOs ili kumuepusha kuingia kwny Mikono ya Mimama ya Mjini mitapeli tapeli
Na Mifisadi
...
Kwny Picha ya Pamoja baada ya kuapishwa Cabinet ilibidi Ombeni Sefue anyanyuke na Kumwita Janeth apate Picha ya Pamoja na Mzee wakat huo Mzee Mwenyewe Hana time nae kabisa na Janeth kajikunyata Pembeni Kama vile mzamiaji wa Shughuli!
...
Kwani wakati wa utawala Mzee Nyerere, Mama Maria alikuwa anajihusisha na nini habu anayejua atujuze, tafadhali.
Aisee nyumba zina siri nyingi sanaa...nakumbuka wakati wa msiba wa masaburi mkulu alivyokuwa anatamba kwa kusema angependa kuwa na wake wengi...tena mbele ya mkewe...hii ilitosha kuonyesha huyu mama mtihani alionao kwenye ndoa yake.....jambo linaloweza kumfanya asiweze kutumikia jamii kabisa....na kubaki kupigania amani yake kwenye ndoa.....its just natural....wala sitoshangaa....
Mmmmhhhh "jirani yenu alikuwa anaitwa nani"Kuna Familia ya kitajiri ilikuwa rafiki yetu, sa mtoto wa nyumba hyo alitukuta mida ya mchana twala ugali dagaa mchicha na maharage mchana, 2kamkaribisha alikula sana 2kamshangaa, siku moja alisema jana hatukula toka mchana kwa sababu mama hawezi kupka anaumwa kaumizwa na baba, housegirl wametoka nje na baba! nlimwonea huruma yule mama knoma.. pole yao matajiri wa mali mafukara wa furaha! Mungu awarehemu
...nakumbuka wakati wa msiba wa masaburi mkulu alivyokuwa anatamba kwa kusema angependa kuwa na wake wengi...tena mbele ya mkewe...hii ilitosha kuonyesha huyu mama mtihani alionao kwenye ndoa yake.....jambo linaloweza kumfanya asiweze kutumikia jamii kabisa....na kubaki kupigania amani yake kwenye ndoa.....its just natural....wala sitoshangaa....
Muacheni afanye mambo yake, nimempenda sana huyu mama..hana kimbelembele..
Wanawake wengine waume zao wakiwa na cheo fulani basi nao wanajiona kama "wanashea" mamlaka!
Acha matusi na dharau kwa akinaMuacheni afanye mambo yake, nimempenda sana huyu mama..hana kimbelembele..
Wanawake wengine waume zao wakiwa na cheo fulani basi nao wanajiona kama "wanashea" mamlaka!
Hata Jessica yule aliyekuwa udom humfahamu mkuuduuu mimi mwenyewe hata watoto wa mweshimiwa siwafahamu.....familia ya huyu bwana haifamiki
Muacheni afanye mambo yake, nimempenda sana huyu mama..hana kimbelembele..
Wanawake wengine waume zao wakiwa na cheo fulani basi nao wanajiona kama "wanashea" mamlaka!