Sijui lini nitapata mke mwema


ila kweli
 
Nafikiri kuna baadhi wamepata bahati niseme, au naweza sema wana uwezo mkubwa sana wa kujizuia na tamaa za kidunia na maumbile pia
 
Kweli kiongozi
 

Wewe umempata mwanamke disco unategemea awe mwema? Mwanamke mwema kwanza chunguza wazazi wake wema? Amelelewa vp kimmadili? Maadili gani wanayo kwao, ndugu zake waliolewa kama wapo ndoa zao zikoje zimedumu? Kaka zake kama wapo wanaishije? Na la mwisho mwisho ni bahati tu kupata mke mwema unaweza fatilia yote na ukakosa mwema
 
Uko sawa kabisa mkuu bcsolution

Lakini mtihani bado upo, kuna familia zina maadili mazuri sana, lakini wewe ukishachukua jiko ni hatari

Na huwezi jua hayo mapungufu hapo awali
 
Last edited by a moderator:
Mke mwema anapatikana pia na wewe mtafutaji uwe mwema sio uwe mchepuko halafu utafute aliyetulia utampata mchepuko mwenzio.
 
Mke mwema anapatikana pia na wewe mtafutaji uwe mwema sio uwe mchepuko halafu utafute aliyetulia utampata mchepuko mwenzio.
Kweli tupu Mkuu manking haya mambo ya kuvuta jiko yanachanganya sana

Ukifikiria baadhi ya mambo, hii kitu ni ngumu kuliko
 
Last edited by a moderator:
Kweli tupu Mkuu manking haya mambo ya kuvuta jiko yanachanganya sana

Ukifikiria baadhi ya mambo, hii kitu ni ngumu kuliko

Mkuu umeonaee! watu wankurupuka watulie watapata majiko saafi genuine sio ya kichina.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…