Sijui lengo lake nini

Sijui lengo lake nini

Hakuna haja y kwenda,kawaida yy ndio anatakiwa aende nyumbani kumuona mtoto. Hiyo ya kumpelekea mtoto ni dharau kubwa na ndio itakuwa sbb ya kukusimangia kwamba ndio maana ulijileta.
 
Huwezi kumkwepa maisha yako yote, ni mzazi mwenzako. Kama mama alivyosema, aje nyumbani ili ajibu hayo maswali. Kwa nini alikutelekeza? Kwa nini hakutaka kuja kumuona mtoto wake? Na kwa nini Leo aone ndio wakati wa wewe kuonana nae?

Nina wasiwasi jamaa anataka kuosha dushe hana lolote...!

anataka kuzibua masikio na macho ya mtoto ili amtambue baba yake teh teh
 
Dah kumbe tapeli lingine.. Halafu usikute ni dume.. Maninaaa..

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
hapa unasema umefeli form four na kila unachosoma unafeli sasa tuamini nini


wewe dada ni muongo sana hapa unasema una diploma in journalism


hapa unajitambulisha kama lesbian

sasa tutaaminije stori hii kama sio chai kama ajisemeavyo BADILI TABIA ??
Ama kweli ukiwa muongo uwe na kumbukumbu. Yaleyale ya Miss TZ 2014.
 
Last edited by a moderator:
huyu si ndio alisema anaenda kigoma kumroga jamaa yake?
 
hapa unasema umefeli form four na kila unachosoma unafeli sasa tuamini nini


wewe dada ni muongo sana hapa unasema una diploma in journalism


hapa unajitambulisha kama lesbian

sasa tutaaminije stori hii kama sio chai kama ajisemeavyo BADILI TABIA ??

aisee. umetuweka sawa sasa. kumbe kazushi tu hakana jipya.
 
Last edited by a moderator:
neema pita na Anna pita siyo mtu yuleyule kweli?
Amepewa makavu kanyweaa sijui kama atarudia kutoa maada
 
Last edited by a moderator:
very nice, wacha upate tabu maana umebeba mimba bila kuolewa.
alfuushauri bure, miilize mamyako
 
Inawezekana ile ya div four point 30 ndo ya kweli zingine uongo kanafikiri division yake humu itapenya, MO 11 bwana
 
Back
Top Bottom