Sijui lengo lake nini

Sijui lengo lake nini

hapa unasema umefeli form four na kila unachosoma unafeli sasa tuamini nini


wewe dada ni muongo sana hapa unasema una diploma in journalism


hapa unajitambulisha kama lesbian

sasa tutaaminije stori hii kama sio chai kama ajisemeavyo BADILI TABIA ??

Aisee kumbe huyu dada anatufanya sisi makatuni.....watu mpaka tunaenda maktaba kuchimbua nondo na mapoint ya maana kumfariji.....kumbe anatufanya sisi masakara.....shenzy zake....nakuomba mkuu ukimkamata mkate vibao kwa niaba yangu....nina hasira nae sana.......
 
Last edited by a moderator:
hapa unasema umefeli form four na kila unachosoma unafeli sasa tuamini nini


wewe dada ni muongo sana hapa unasema una diploma in journalism


hapa unajitambulisha kama lesbian

sasa tutaaminije stori hii kama sio chai kama ajisemeavyo BADILI TABIA ??

aaache umbeaaa wake
ndonmaana mi nawapaga kavu

muooongo kuliko shetani ndo maaana huyo mwanaume hakutaki
mxxxeeew
Cc Tyta
kushauri humu ndani siku hizi imekua shida maana watu ni waongo kuliko kawaida
 
Last edited by a moderator:
Aisee kumbe huyu dada anatufanya sisi makatuni.....watu mpaka tunaenda maktaba kuchimbua nondo na mapoint ya maana kumfariji.....kumbe anatufanya sisi masakara.....shenzy zake....nakuomba mkuu ukimkamata mkate vibao kwa niaba yangu....nina hasira nae sana.......

yaani huyu dada ni mpuuuuuzi sana

hakaeleweki,katakaua katapeli haka
 
hapa unasema umefeli form four na kila unachosoma unafeli sasa tuamini nini


wewe dada ni muongo sana hapa unasema una diploma in journalism


hapa unajitambulisha kama lesbian

sasa tutaaminije stori hii kama sio chai kama ajisemeavyo BADILI TABIA ??

asanteee... uko vizuri....
 
Last edited by a moderator:
Ushauri wangu ni kuwa huyu dada hana AKILI TIMAMU...MO11 kathibitisha....
 
ila wanawake kiukweli mna moyo wa makaratasi!!! yani after all that bado unajiuliza ufanye nini??? the dude hakupendi na kama ni kuomba msamaha angekubal kuja kwenu, sa anataka uende akakupe bend nyingine alaf urud tena hapa kulialia
 
Usiende mtoto isiwekigezo maana anaweza akapenda Mtoto wewe usiwe na nafasi wakati umepoteza muda KWA kuosha vyombo baadae unatimuliwa sikia wazazi wako. Kama shida ni ngono nenda katafute wapili lakini future huyo hajaamua kuwa nawe
 
hapa unasema umefeli form four na kila unachosoma unafeli sasa tuamini nini


wewe dada ni muongo sana hapa unasema una diploma in journalism


hapa unajitambulisha kama lesbian

sasa tutaaminije stori hii kama sio chai kama ajisemeavyo BADILI TABIA ??

Hahaahaaahaaaaa...UKAWA wakiingia pale magogoni..itabidi ukachukue nafasi ya Hosea pale TAKUKURU...hongera sana kwa upelelezi wako kabambe!
 
Last edited by a moderator:
We achana na huyo kunguru wa feri .. lea mwanao mzazi wako kakwambia kweli.. hana adabu anajua kukojoa tu .. we jua ulichukua mbegu pale na huna mpenzi wala baba wa mwanao
 
Back
Top Bottom