M CM
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 2,493
- 1,472
hapa unasema umefeli form four na kila unachosoma unafeli sasa tuamini nini
wewe dada ni muongo sana hapa unasema una diploma in journalism
hapa unajitambulisha kama lesbian
sasa tutaaminije stori hii kama sio chai kama ajisemeavyo BADILI TABIA ??
Mkuu wewe ni kiboko ya waongo, safi sana