Sijui kwanini simpendi Diamond na miziki yake

Siku ukiacha bia utamuelewa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa maoni yangu kuna vitu viwili vinaweza kuwa vimechangia kukufanya uwe na hali hiyo;
1. ni kwamba watu wengi humu jukwaani wanampenda mno diamond hadi kufikia kumzidishia sifa, kulazimisha wengine wawe na mawazo kama yao, kuforce ulinganifu na wanamuziki wengine (katika hili muathirika mkubwa ni alikiba.....kila atakachokifanya atalinganishwa na diamond; kiwe kikubwa kiwe kidogo lazima ilazimishwe kionwe kuwa ni cha kiwango cha chini humu kulinganisha na 'baba yao') n.k
2. ni tabia ya diamond mwenyewe kupendapenda kuwapiga vijembe wenzake (hii kwa mtu mwenye akili huru huweza kufikiri kuwa pamoja na mafanikio yote aliyonayo bado hapendi wenzake waendelee).

ni hayo tu kwa mawazo yangu!
 
kwa maoni yangu kuna vitu viwili vinaweza kuwa vimechangia kukufanya uwe na hali hiyo;
1. ni kwamba watu wengi humu jukwaani wanampenda mno diamond hadi kufikia kumzidishia sifa, kulazimisha wengine wawe na mawazo kama yao, kuforce ulinganifu na wanamuziki wengine (katika hili muathirika mkubwa ni alikiba.....kila atakachokifanya atalinganishwa na diamond; kiwe kikubwa kiwe kidogo lazima ilazimishwe kionwe kuwa ni cha kiwango cha chini humu kulinganisha na 'baba yao') n.k
2. ni tabia ya diamond mwenyewe kupendapenda kuwapiga vijembe wenzake (hii kwa mtu mwenye akili huru huweza kufikiri kuwa pamoja na mafanikio yote aliyonayo bado hapendi wenzake waendelee).

ni hayo tu kwa mawazo yangu!
Diamond hawezagi kumpiga mtu kijembe Kama ujamchokoza
 
Back
Top Bottom