Sijui kwanini sikuijua JF muda wote huu

Sijui kwanini sikuijua JF muda wote huu

Joined
Jan 5, 2011
Posts
7
Reaction score
1
Naingia kama vile nilikuwepo tangu na tangu, kama vile naifaham kuliko wengi wa hao walioitambua mapema zaidi....:msela:
 
Naingia kama vile nilikuwepo tangu na tangu, kama vile naifaham kuliko wengi wa hao walioitambua mapema zaidi....:msela:

Karibu sana jamvini...Lakini mbona hii kitu ipo miaka mingi tu. Hapa ni sehemu ya wale wanaoipenda sana nchi yetu ya Tz. Tunakumbushana, tunapashana, tunaelimishana,tunaliwazana, tunajengana, na pia tunabomoa lakini kuwa mvumilivu utafaudu tuuuuuuuuuuuuuu.
 
Hiki ni kisima cha fikra kwa wanaothubutu kuwaza...karibu mkuu!
 
Back
Top Bottom