Sijui kutongoza, msaada please

Mkuu unashindwa kwelh kumwambia mwanamke 'silali, nakuota wewe" ahahaha
Au nikinywa maji nakuona kwenye glass
 
Mwambie i love you nyang'anyang'a basi
 
Mimi nimemuelezea style ya kutongoza mtu mwenye malengo naye.
Hiyo yako yamalaya kutongozana haina msaada kwa ndugu yetu hapa
Alikwambia anataka mchumba? Mwenziyo ana hamu ya kupiga mzigo ila kutongoza hajui aanziye wapi. Angekuwa anataka mchumba angetangaza nia.
 
mkuu kumbe na huku unafikaga aisee?
 


Wewe unaonekana ni mtoto wa Insta ama Fesibuku....bado unakuwa, kwa hiyo usiharakishe maisha.
 
Hao watu wanataka kujichanganya nao. We jitahidi kupiga mastori hata kama ya kubumba cha umuhim umsogeze awe karibu nawe kwanza, baada ya hapo inakua rahisi kutupia mpira nyavu ndogo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…