Sijui kutongoza, msaada please

Mosahe

Member
Joined
Feb 22, 2017
Posts
67
Reaction score
33
Huwa nakutana na wadada wengi wazuri mchoni ila kuanza kutongoza sasa inakuwa shida, huwa naingiwa na kauoga fulani hivi na mate hukauka mdomoni ingawa mi mkubwa kabisa wa kusimamisha mwanamke na akaeleweka, 27yrs, niambie huwa wanaanzaje kutongoza hadi kula mzigo?
 
Try at your level best to be clean both physically and mentally ,automatically you will get the confidence of seducing any girl of your dream.
 
Boss inaonekana wewe ni antisocial, mtu mkuda/mnoko asiyejichanganya na watu. Kutongoza ni social aspect, si vita, si ugomvi, si matusi, si ushamba...sasa unashindwaje mkuu??

Kutongoza is a process, si tu umempenda mdada muda huo huo unataka umwage sera. Anza kumvuta pole pole, mfn muulize km anajua kuogelea. From there hautakosa cha kuendeleza.

Kitu kirahisi zaidi cha kuanza nacho ni kuwa rafiki wa watu, wake kwa waume. Utagundua kutongoza ni kitu chepesi kama A E I O U.
 
YANI UMENISAIDIA SANA MKUU
 
Nenɗa kijiji waamɓie inataka kuoa italetewa mpaka chumɓani
 
Reactions: SDG

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…