mrtanzania
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 219
- 126
Yaani kuongea unajua ila kuandika hujui? Duh kazi ipo maana nahisi hapo kuna tatizo huenda composition mwalimu wako anapata shida sana. Bext way tafuta mwenzio anajua lugha p+ kuandika then atakuwa anaongea we unaandika.