THK DJAYZZ
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 2,166
- 175
Aminia...
Near by Makambako Iringa
Near by Makambako Iringa
Kutupa barua ktk kijiji/mji husika wakati unapita na gari/treni na inafika kwa mlengwa.
Kutongoza kwa barua
kuangalia filamu mabandani(komando kichupi)
kuvaa nguo nzuri j2 tu.
naomba unisaidie jina la hii movie ya komando kichupi tafadhali
Inaitwa Deadly Prey.
mzee hizo red zilihusika sanakwa upande wangu.SIJUI KAMA SIKU HIZI ZIPO HIZI
1. Kupakwa GV kwenye kidonda
2. Kung'olewa jino kwa uzi
3. Ubwabwa kupikwa j2 tu
4. Kidonda kuwekwa unga wa 'rangi mbili'
5. Kupamba kadi sebuleni
6. Ukumbi wa sherehe kupambwa kwa toilet paper
7. Kunyolewa na mkasi
8. Kufunga pesa kwenye leso au pindo la kanga
9. Kwenda kuangalia sinema za Ukimwi na Lishe sokoni
10. Ku rewind kanda kwa peni
11. Ndala kuchemshwa ili zisiishe
12. Kucheza umeshikilia kaptula sababu mpira umekatika
13. Kuchonga penseli na meno
14. Kukata ndala, ati ni kifutio
15. Kunyolewa msalaba shuleni kisa nywele ndefu
16.Kwenda shuleni na tofali na kidumu cha maji
Wewe unakumbuka nini...?
kuweka shati blue,kupiga pasi shati na kuweka buibui nyuma
duuu hiyo ya kuchemsha ndala ndio kwanza naisiki leo Duniani huku. ili isishe