Mtandaoni
Senior Member
- Jul 22, 2013
- 134
- 65
Wapendwa ndg zangu habari!
Jamani mmi naomba kama kuna njia ingine mbadala nisaidieni, Nina account ya fb niliokuwa natumia wakati fulan, ilikuwa kila nikitaka kuingia lazima niingie kwa uthibitisho wa msimbo wa usalama maana niliweka security code.
Bahati mbaya lain ilipotea na Haina uwezekano kuirudisha Kwan kuna wakati ilishasajiliwa kwa jina lingine baada ya mm kukosa namba ya nida.
Hivyo Sasa kwa wakati huu natumia simu ingine kila nikitaka kuingia wanatuma msimbo kwa namba hiyo na Sina namna ya kuzipata code,
Je kuna njia tofauti ninayoweza kuitumia Hadi kuifika account yangu na sikuwa na namba mbadala ya uthibitisho
Jamani mmi naomba kama kuna njia ingine mbadala nisaidieni, Nina account ya fb niliokuwa natumia wakati fulan, ilikuwa kila nikitaka kuingia lazima niingie kwa uthibitisho wa msimbo wa usalama maana niliweka security code.
Bahati mbaya lain ilipotea na Haina uwezekano kuirudisha Kwan kuna wakati ilishasajiliwa kwa jina lingine baada ya mm kukosa namba ya nida.
Hivyo Sasa kwa wakati huu natumia simu ingine kila nikitaka kuingia wanatuma msimbo kwa namba hiyo na Sina namna ya kuzipata code,
Je kuna njia tofauti ninayoweza kuitumia Hadi kuifika account yangu na sikuwa na namba mbadala ya uthibitisho