Cpp
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,115
- 2,214
Kichwa cha uzi wako “hujivunii wazazi wako” Ndo washakua wazazi wako ingekua hawakupendi pale ulipozaliwa tu wangekutupa au mimba yako ingetolewa.
Waheshimu baba na mama upate heri na miaka mingi duniani, licha ya mapungufu waliyokua nayo lakini kuja kuanika maisha yao wanayoishi hakutaweza kukupa amani ya moyo zaidi ya kuendelea kuteseka moyoni.
Acha kulalamika na kuona lilikua jukumu la wazazi kukufikisha mahali fulani kimaisha, uko mzima na hauna ulemavu pambana utafanikiwa.
Waheshimu baba na mama upate heri na miaka mingi duniani, licha ya mapungufu waliyokua nayo lakini kuja kuanika maisha yao wanayoishi hakutaweza kukupa amani ya moyo zaidi ya kuendelea kuteseka moyoni.
Acha kulalamika na kuona lilikua jukumu la wazazi kukufikisha mahali fulani kimaisha, uko mzima na hauna ulemavu pambana utafanikiwa.