Sijisikii vizuri kabisa!!

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Dec 22, 2010
16,987
20,271
Ndugu wana jf yani nimeamka mwili na akili vyote vimekwenda likizo! Yani siku naiona ipo kinyume sijui ni kwanini? Nikicheki waleti imejaa pesa,pombe simtumia,bangi simtiaji, Mademu simtumia lakini ukinipa nakula na nikila utadata....

Hivi ni kwa nini kunasiku unaamka mwili na akili havitaki ushirikiano?
 
kazi kweli! inawezekana hujisikii vizuri shauri ya wallet kujaa fedha ilhali kuna ndugu zako na jamaa wanahitaji walau hela ya madaftari wajikomboe na adui ujinga! jaribu 'giving back to the society' uone raha ya kuwa in a good course
 
<strong>Namtafuta binti mwenye BIKRA kwa gharama yoyote ile</strong><div style="margin-left:40px">Naamini hiyo ni zawadi toka kwa mungu na mimi nitatoa zawadi yangu kwake!Sijawahi kukutana na bikra nimekuwa nikisimuliwa tu, sasa nimeamua kuitafuta kwa pesa! Yeyote mwenye nayo ani PM na aseme kiasi cha pesa anachotaka!Nipo serious!Offer yangu yakwanza ni 1ml mezani! Mrembo yeyote ajitokeze na iwe original! Nategemea mgongano wa mawazo ila ukitukana tu burn inakudondokea!</div><br>

Hapo juu uliandika hayo.

Ndugu wana jf yani nimeamka mwili na akili vyote vimekwenda likizo! Yani siku naiona ipo kinyume sijui ni kwanini? Nikicheki waleti imejaa pesa,pombe simtumia,bangi simtiaji, Mademu simtumia lakini ukinipa nakula na nikila utadata.... <br>

Hivi ni kwa nini kunasiku unaamka mwili na akili havitaki ushirikiano?
<Na hapa umekuja na hili. Je, hayana uhusiano?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom