sizonjemadawa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 1,053
- 1,303
- Thread starter
- #21
Hahahah mkuu nahisi watanitafuta maana itakuwa nishajua kuwakaangaKuna mdada mmoja wa Kiitaliano aliwahi niambia kuwa wao kule konokono ni chakula maarufu sana. Ila wanatushangaa Watz kwa kula kumbikumbi.
Btw, ngoja wakushangae na kukucheka. Siku wakisikia kuwa kula konokono kunatibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume au siku wakina mama wakisikia ni dawa ya kumdhibiti mume asitoke nje ya ndoa, na dozi yake ni lazima uwatafune mkubwa mmoja kwa siku saba utaona wanavyofuatilia na kuulizia wanapatikana wapi.