Sijawai kujutia kuishi ughaibuni!!!!!

Sijawai kujutia kuishi ughaibuni!!!!!

Ni vizuri lakin nais kila mtu ana uwezo wake wa kuandika yawezekana wa kwangu umeishia hapo mkuu.
Hauwezi kuishia hapo. Unasema uko majuu halafu unawaza kijima namna hii ndugu. Hakuna aliyezaliwa anajua kuandika ila kila mtu anajifunza na hakuna limit.
 
"Husipofanikiwa maisha au kujifunza basi jua wewe hata kwenya nchi yako ulikuwa mzigo"


Nilivosoma hiyo aya baada ya kiunganishi 'au' tu nikagundua unajitetea kitu fulani .Pole sana Mzee Baba
 
Hauwezi kuishia hapo. Unasema uko majuu halafu unawaza kijima namna hii ndugu. Hakuna aliyezaliwa anajua kuandika ila kila mtu anajifunza na hakuna limit.
Nais wewe ujanielewa,.
Kujifunza kupo ila elimu yako ina kiwango,ndomana nmekuambia inawezkana uwezo wangu umeishia hapo.elimu yng ya kuandka imeishia hapo,ninapotambua makosa kwa uwezo wangu nitajifunza.

Mfano,leo najua kuhesabu moja mpka 10,hapo ndo umeishia uwezo wangu,lakni katka kujifunza siku nyingne nitafika 15.15 ni limit yang licha najua unilimit katika kuhesabu,leo niko hapo unapokosoa ndipo uwezo wangu umeishia.licha najua hakuna mwisho
 
"Husipofanikiwa maisha au kujifunza basi jua wewe hata kwenya nchi yako ulikuwa mzigo"


Nilivosoma hiyo aya baada ya kiunganishi 'au' tu nikagundua unajitetea kitu fulani .Pole sana Mzee Baba
Unaweza kwenda shule,elimu yako iskusaidie ila watu uliokutana nao,mazingira ya shule,changamoto nk.... zikakusaidia kufikia maleongo tofauti kabisa na elimu yako.....
 
Mimi nielekeze namna ya kupata mdada wa Kimarekani(White). Hebu fananisha na kutofautisha wadada wa huko na huku ,ukijikita kwenye mapenzi,kuanzia namna ya kutongozana mpaka kudinyana na muendelezo wa hapo.
 
Nashukuru mkuu kwa kushare hapa uzoefu wako huko ughaibuni...
 
Back
Top Bottom