Sijawai kujutia kuishi ughaibuni!!!!!

Sijawai kujutia kuishi ughaibuni!!!!!

Da mazee, miezi ishirini Marekani unaona dili sasa sisi tulioishi toka kipindi cha Clinton tuseme nini?

Acha wivu wewe.. maneno yako ya kejeli ya nini sasa... kwani kafanya ubaya kutaja mda ambao yupo huko...
 
Acha wivu wewe.. maneno yako ya kejeli ya nini sasa... kwani kafanya ubaya kutaja mda ambao yupo huko...
🤣 🤣 🤣 🤣 Welcome to the US of A. We gotta all kinda flavas; a chola, a becky, shaniqua etc. which one do you like?
 
kwa hiyo sisi tuliopo shitholes countries unatushauri nini boss
 
Weka picha,na zisiwe za kudownload
Ni kweli mimi uwa niko tofauti kabisa na mitazamo ya watu wengine juu ya nchi za wenzetu,.huwa nina amini ughaibuni ni sehemu ya utafutaji pia hasa ni sehemu ya kujifunza vitu vingi....
Husipofanikiwa maisha au kujifunza basi jua wewe hata kwenya nchi yako ulikuwa mzigo.

Na ninapiga kelele na kusisitiza kuwa kuna faida za kuishi ughaibuni.

miezi 20 nchini MAREKANI kuna vitu vingi vya kujivunia na kujifunza
Nimepata kujifunza,.
UTAMADUNI nilipenda sana kujua utamaduni wa hapa na umenisaidia sana kuniweka tofauti na dhamani.wamerekani nyuso zao ujaa tabasamu na kumjali mwingne kabla yake,mfano: usishangae unaenda kufanya interview ya kazi boss wako anakufungulia mlango na kuhushikilia ili uingie kwanza,hata daktari na ofisi zingine.
,kusema asante,msamahani,ni maneno wanyatumia sana kuliko salamu.uwa nafarijika sana na hali hii na nilijitaidi na mimi kubadilika.

LUGHA:kingereza ni lugha ya kimataifa,faida ya kujua lugha hii inanisaidia kufamiana na kufanya mawasiliano na watu mbali mbali katika harakati zangu za kila siku,.

TABIA:nchi hii ina watu wa duniani kote na huwa sioni tabu kuwasogelea na kufamiana ili nijufunze mawili kutoka kwako,hali hii imenipa uwezo wa kutambua watu wa nchi fulani wana tabia fulani

FIKRA:Marekanu ni nchi ambayo imeendelea,na watu wake upenda kuishi maisha ya kujitegemea,kwaiyo ukiishi nao wanakuw wanakupa mbinu za kujitegemea,wanapenda kuhuliza,kujituma,kujitegemea,mcheshi,hawezi kukucheka au kukudharau unapokosea,wanamjali mtu,hali hii imenisaidia sana na mimi kuwa na moyo wa kusaidia,kujituma,na kufanya mambo kwa wakati na kwa kuzingatia muda nk....

CONNECTION:ninakutana na watu mbali mbali na kubadilishana mawazo,tuna buni mbinu za maisha ya baadae,nafamiana na watu wenye mawazo tofauti naya kwangu kwaiyo,najifunza mengi toka kwao,tofauti kabisa na africa nilizoea kukutana na watu wale wale.

KAZI:ndani ya miezi ishirini nimefanikiwa kufanya kazi mbili tofoauti na moja hisio itaji ujuzi,kazi yangu imenisaidia kupata elimu na kujifunza mambo mbali mbali,.saivi ninauzoefu wa kazi mbili ambapo africa ningetakiwa kwnda shule kwanza.

ELIMU,:nikitaka kwenda shule uwa siwaz pesa nitapata wapi,katika kufamiana kwangu na watu mbali mbali nilifanikiwa kuonganishwa na taasisi zinazowapa watu elimu bure,na kuna zingine zinakudhamini ada,kuna zingine zinakuchukua na kukupeleka shule kila kitu cha kwao,hurudishi hata mia.

NB:Mimi vitu hivyo uwa vinanifanya nijivunie kuwepo hapa na vimenibadlisha na kunijengea maisha ya tofauti sana kiasi nikirudi nilikotoka lazima ukubali nimeishi na watu mbali mbali na wenye kujitambua hata kama sijakuambia niliko toka
 
Ndomana watu wa africa uwa hatuendlei,...
Kuna mtu aliwai kuniambia ngozi nyeusi ni ngumu kubadilika,.

Hivi kurekebisha unaona shida gani?.
Utanisaidia mimi na wengine.

Ila fikra dogo zinatusumbua
Ingekua typing error nisingekukosoa hiyo sio typing error ndio uandishi wako
 
Ni kweli mimi uwa niko tofauti kabisa na mitazamo ya watu wengine juu ya nchi za wenzetu,.huwa nina amini ughaibuni ni sehemu ya utafutaji pia hasa ni sehemu ya kujifunza vitu vingi....
Husipofanikiwa maisha au kujifunza basi jua wewe hata kwenya nchi yako ulikuwa mzigo.

Na ninapiga kelele na kusisitiza kuwa kuna faida za kuishi ughaibuni.

miezi 20 nchini MAREKANI kuna vitu vingi vya kujivunia na kujifunza
Nimepata kujifunza,.
UTAMADUNI nilipenda sana kujua utamaduni wa hapa na umenisaidia sana kuniweka tofauti na dhamani.wamerekani nyuso zao ujaa tabasamu na kumjali mwingne kabla yake,mfano: usishangae unaenda kufanya interview ya kazi boss wako anakufungulia mlango na kuhushikilia ili uingie kwanza,hata daktari na ofisi zingine.
,kusema asante,msamahani,ni maneno wanyatumia sana kuliko salamu.uwa nafarijika sana na hali hii na nilijitaidi na mimi kubadilika.

LUGHA:kingereza ni lugha ya kimataifa,faida ya kujua lugha hii inanisaidia kufamiana na kufanya mawasiliano na watu mbali mbali katika harakati zangu za kila siku,.

TABIA:nchi hii ina watu wa duniani kote na huwa sioni tabu kuwasogelea na kufamiana ili nijufunze mawili kutoka kwako,hali hii imenipa uwezo wa kutambua watu wa nchi fulani wana tabia fulani

FIKRA:Marekanu ni nchi ambayo imeendelea,na watu wake upenda kuishi maisha ya kujitegemea,kwaiyo ukiishi nao wanakuw wanakupa mbinu za kujitegemea,wanapenda kuhuliza,kujituma,kujitegemea,mcheshi,hawezi kukucheka au kukudharau unapokosea,wanamjali mtu,hali hii imenisaidia sana na mimi kuwa na moyo wa kusaidia,kujituma,na kufanya mambo kwa wakati na kwa kuzingatia muda nk....

CONNECTION:ninakutana na watu mbali mbali na kubadilishana mawazo,tuna buni mbinu za maisha ya baadae,nafamiana na watu wenye mawazo tofauti naya kwangu kwaiyo,najifunza mengi toka kwao,tofauti kabisa na africa nilizoea kukutana na watu wale wale.

KAZI:ndani ya miezi ishirini nimefanikiwa kufanya kazi mbili tofoauti na moja hisio itaji ujuzi,kazi yangu imenisaidia kupata elimu na kujifunza mambo mbali mbali,.saivi ninauzoefu wa kazi mbili ambapo africa ningetakiwa kwnda shule kwanza.

ELIMU,:nikitaka kwenda shule uwa siwaz pesa nitapata wapi,katika kufamiana kwangu na watu mbali mbali nilifanikiwa kuonganishwa na taasisi zinazowapa watu elimu bure,na kuna zingine zinakudhamini ada,kuna zingine zinakuchukua na kukupeleka shule kila kitu cha kwao,hurudishi hata mia.

NB:Mimi vitu hivyo uwa vinanifanya nijivunie kuwepo hapa na vimenibadlisha na kunijengea maisha ya tofauti sana kiasi nikirudi nilikotoka lazima ukubali nimeishi na watu mbali mbali na wenye kujitambua hata kama sijakuambia niliko toka
Kuna classmate wangu alikwenda Marekani kusoma PhD mwaka 1980; akamaliza masomo na kubakia huko akifanya kazi NASA. Mambo yamemunyookea barabara. Hatumsikii akitangaza kwamba maisha huko ni hivi na hivi kama unavyofanya wewe ambaye umeishi huko hata miaka miwili haijafika. Unachotaka ni kwamba tukuonee wivu kwamba unaishi kwenye raha wakati sisi huku tuko taabuni. Mtu akifanya ufanyavyo ujue hapo hakuna lo lote. Ndiyo maana unakumbuka nyumbani lakini kwa kuona haya unajibaraguza kusimulia ndoto unazoziota. Mwenye raha kama classmate wangu wala hana muda wa kuanza kuelezea maisha yake huko. Aeleze ili iweje?
 
Unachekesha sana wewe, eti umetengeneza network...unavyobabaika na plastic smile inaonesha ulivyo naive...have you started laying up with Becky? You must be one of those, be careful ma nigga.
Wewe una matatizo, mwenzako kaeleza uzoefu wake na maarifa mapya aliyopata marekani.
Na wewe eleza experience yako,usimkashfu mwenzio
 
Acha wivu wewe.. maneno yako ya kejeli ya nini sasa... kwani kafanya ubaya kutaja mda ambao yupo huko...
Kwakeli sisi watanzania tunamambo ya kipumbavu sana, jamaa ametoa idea nzuri lakini watu wanaponda cjui amefanya vibaya kusema kile alichokipata huko majuu.
 
Ni kweli mimi uwa niko tofauti kabisa na mitazamo ya watu wengine juu ya nchi za wenzetu,.huwa nina amini ughaibuni ni sehemu ya utafutaji pia hasa ni sehemu ya kujifunza vitu vingi....
Husipofanikiwa maisha au kujifunza basi jua wewe hata kwenya nchi yako ulikuwa mzigo.

Na ninapiga kelele na kusisitiza kuwa kuna faida za kuishi ughaibuni.

miezi 20 nchini MAREKANI kuna vitu vingi vya kujivunia na kujifunza
Nimepata kujifunza,.
UTAMADUNI nilipenda sana kujua utamaduni wa hapa na umenisaidia sana kuniweka tofauti na dhamani.wamerekani nyuso zao ujaa tabasamu na kumjali mwingne kabla yake,mfano: usishangae unaenda kufanya interview ya kazi boss wako anakufungulia mlango na kuhushikilia ili uingie kwanza,hata daktari na ofisi zingine.
,kusema asante,msamahani,ni maneno wanyatumia sana kuliko salamu.uwa nafarijika sana na hali hii na nilijitaidi na mimi kubadilika.

LUGHA:kingereza ni lugha ya kimataifa,faida ya kujua lugha hii inanisaidia kufamiana na kufanya mawasiliano na watu mbali mbali katika harakati zangu za kila siku,.

TABIA:nchi hii ina watu wa duniani kote na huwa sioni tabu kuwasogelea na kufamiana ili nijufunze mawili kutoka kwako,hali hii imenipa uwezo wa kutambua watu wa nchi fulani wana tabia fulani

FIKRA:Marekanu ni nchi ambayo imeendelea,na watu wake upenda kuishi maisha ya kujitegemea,kwaiyo ukiishi nao wanakuw wanakupa mbinu za kujitegemea,wanapenda kuhuliza,kujituma,kujitegemea,mcheshi,hawezi kukucheka au kukudharau unapokosea,wanamjali mtu,hali hii imenisaidia sana na mimi kuwa na moyo wa kusaidia,kujituma,na kufanya mambo kwa wakati na kwa kuzingatia muda nk....

CONNECTION:ninakutana na watu mbali mbali na kubadilishana mawazo,tuna buni mbinu za maisha ya baadae,nafamiana na watu wenye mawazo tofauti naya kwangu kwaiyo,najifunza mengi toka kwao,tofauti kabisa na africa nilizoea kukutana na watu wale wale.

KAZI:ndani ya miezi ishirini nimefanikiwa kufanya kazi mbili tofoauti na moja hisio itaji ujuzi,kazi yangu imenisaidia kupata elimu na kujifunza mambo mbali mbali,.saivi ninauzoefu wa kazi mbili ambapo africa ningetakiwa kwnda shule kwanza.

ELIMU,:nikitaka kwenda shule uwa siwaz pesa nitapata wapi,katika kufamiana kwangu na watu mbali mbali nilifanikiwa kuonganishwa na taasisi zinazowapa watu elimu bure,na kuna zingine zinakudhamini ada,kuna zingine zinakuchukua na kukupeleka shule kila kitu cha kwao,hurudishi hata mia.

NB:Mimi vitu hivyo uwa vinanifanya nijivunie kuwepo hapa na vimenibadlisha na kunijengea maisha ya tofauti sana kiasi nikirudi nilikotoka lazima ukubali nimeishi na watu mbali mbali na wenye kujitambua hata kama sijakuambia niliko toka
nimekuelewa sana yani wewe una nia na unajiongeza siyo sawa na wale wanaoenda kurandaranda huko. nahitaji feedback zaid
 
Kuna classmate wangu alikwenda Marekani kusoma PhD mwaka 1980; akamaliza masomo na kubakia huko akifanya kazi NASA. Mambo yamemunyookea barabara. Hatumsikii akitangaza kwamba maisha huko ni hivi na hivi kama unavyofanya wewe ambaye umeishi huko hata miaka miwili haijafika. Unachotaka ni kwamba tukuonee wivu kwamba unaishi kwenye raha wakati sisi huku tuko taabuni. Mtu akifanya ufanyavyo ujue hapo hakuna lo lote. Ndiyo maana unakumbuka nyumbani lakini kwa kuona haya unajibaraguza kusimulia ndoto unazoziota. Mwenye raha kama classmate wangu wala hana muda wa kuanza kuelezea maisha yake huko. Aeleze ili iweje?
Ok,nimekuelewa vizur mkuu,
Hakuna mtanzania anaefanya kazi NASA.
Na hiyo sio kwamba najitangaza hapana,mbali tunapeana uzoefu,kuelimisha,hata na wewe unaweza kuzugumzia manufaa ya elimu yako hapa,uzoefu wa maisha yako hapa,ili mradi tuelimishana,.
Kuna watu wanaelezea namna walivyofanyikiwa,haimaanisha kwamba mtu yule anajitangaza hapana...
Unaweza kujifunza kutoka kwangu na kwa mwingine.
Na ni vizuri unapoona jambo njema wasambazie na wenzio
 
Back
Top Bottom