Unasema hakuna mtanzania anafanya kazi nasaOk,nimekuelewa vizur mkuu,
Hakuna mtanzania anaefanya kazi NASA.
Na hiyo sio kwamba najitangaza hapana,mbali tunapeana uzoefu,kuelimisha,hata na wewe unaweza kuzugumzia manufaa ya elimu yako hapa,uzoefu wa maisha yako hapa,ili mradi tuelimishana,.
Kuna watu wanaelezea namna walivyofanyikiwa,haimaanisha kwamba mtu yule anajitangaza hapana...
Unaweza kujifunza kutoka kwangu na kwa mwingine.
Na ni vizuri unapoona jambo njema wasambazie na wenzio
Subiri kwanza upitishe angalau miaka kumi na tano.Sizani kama utatoa mkuu maana najifunza kupitia huo ulimbukeni
Mbona uu mchovu sana kwenye kuandika? Maneno rahisi kabisa ya kiswahili yanakushinda?Mko vizuri nmewapa ongera
Mbona uu mchovu sana kwenye kuandika? Maneno rahisi kabisa ya kiswahili yanakushinda?
Hakikisha kwenda kwako huko unawavuta wanandugu,na marafiki wenye vision,nao wapambane na fursa.No,tunapeana uzoefu wa maisha
Umeamua kumwambia kwa kupitia mgongo wa wengineWatakwambia umeamua kutangaza upo Marekani.
Nimekuelewa mkuu.Hakikisha kwenda kwako huko unawavuta wanandugu,na marafiki wenye vision,nao wapambane na fursa.
Hayo mengine porojo
Subiri kwanza. Umeanza mapema sana.Na vipi nikiwa na miaka kumi na tano lakn sielewi chochote,maana kuna watu wanaishi tanzania lakini hawajuw mwelekeo wa nchi yao uko wapi
Usijibu chochote ndugu yangu ila ni vizuri ukajifundisha namna ya kuandika maneno basic ya kiswahili. Unajua maandishi aliyoandika mtu yanaelezea mengi kumhusu! Watu wengine wakikutana na uandishi wa ''ngumbaru'' sentensi za mwanzoni huwa hawana muda wa kuendelea au hawaipi story uzito unaotakiwa!Unataka nikujibu nini mkuu
Nilipoona tu neno "kuhuliza" nikaishia hapohapo kusoma
Ni vizuri lakin nais kila mtu ana uwezo wake wa kuandika yawezekana wa kwangu umeishia hapo mkuu.Usijibu chochote ndugu yangu ila ni vizuri ukajifundisha namna ya kuandika maneno basic ya kiswahili. Unajua maandishi aliyoandika mtu yanaelezea mengi kumhusu! Watu wengine wakikutana na uandishi wa ''ngumbaru'' sentensi za mwanzoni huwa hawana muda wa kuendelea au hawaipi story uzito unaotakiwa!
Za nini mkuu
Mzee kama umesoma mwaka 1980 kwa sasa inabidi umskilizie tu sir god na kuachana na mitandaoKuna classmate wangu alikwenda Marekani kusoma PhD mwaka 1980; akamaliza masomo na kubakia huko akifanya kazi NASA. Mambo yamemunyookea barabara. Hatumsikii akitangaza kwamba maisha huko ni hivi na hivi kama unavyofanya wewe ambaye umeishi huko hata miaka miwili haijafika. Unachotaka ni kwamba tukuonee wivu kwamba unaishi kwenye raha wakati sisi huku tuko taabuni. Mtu akifanya ufanyavyo ujue hapo hakuna lo lote. Ndiyo maana unakumbuka nyumbani lakini kwa kuona haya unajibaraguza kusimulia ndoto unazoziota. Mwenye raha kama classmate wangu wala hana muda wa kuanza kuelezea maisha yake huko. Aeleze ili iweje?