Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,418
Unaona sasa?? Hiyo step ya kwanza ya kulitatua tatizo. Ukishalijua maana yake 50% ushalitatua.Nakwama wapi mkuu au sababu ni kuwa sina mda wa kutulia nyumban ...maana katika mwez naweza kaa siku 9 au pungufu
Inabidi shem apate lecture mkuu