Awowo Apewe
Member
- Jun 5, 2019
- 72
- 89
Kwanza nisiwachoshe saaana....Kuna wakati niliwahi ambiwa pesa ndio kila kitu nikaamini labda nikiwa na pesa ntafaidi mema ya dunia kupitia mapenzi lakini sijawahi yaelewa kiufupi...kama pesa nnazo lakin sijawahi kuwa na amani kwenye mahusiano yangu..hata sijui nakwama wapi?