ila haya maisha bana,ukute hapo tena kuna mhuni anakosa usingizi kwa ajil yako,anakuvutia hisia kali anapiga nyeto.na uyo mwanaume alokutamkia ukweli usikute ukweni hawataki ata kumsikiaHabari ndugu zangu! Nimeachana na mtu niliekua na mpenda sana tulikuwa kwenye mahusiano takribani miaka 2 na tumeachana baada ya yeye kuniambia ukweli kuwa ameoa tayari ana mke na mtoto mmoja " last week aliniomba tukutane akemi kwa ajili ya Dinner then baada ya hapo ndio akanitamkia Haya "trisha mpenzi wangu nimekuwa nikiificha hii siri kwa mda wote huo tukiwa kwenye mahusiano sababu ninakupenda na bado ninakuhitaji ila kiukweli mimi nimeoa ni Mume wa mtu na nina mtoto 1 kwa kipindi chote hicho nmekuwa nikijitahidi sana usijue sababu nikihofia kukupoteza " Sasa nmeona sikutendei haki nmeona nikuambie ukweli ili ufanye maamuzi pia kwa upande wako
Baada ya hapo nilikuwa kama nimepigwa shot ya umeme niliondoka sikujibu chochote njiani nikawa nalia sana.... Nikarudi home nikapata nguvu ya kumtumia message "its over between us" baada ya hapo usiku wa saa 8 nilizidiwa sana nikapelekwa Hosp nikalazwa since iyo last week nmekuwa sijielewi mpaka sasa nashindwa hata kula chakula nakunywa vimiminika tu Juice, na maji what even worse hata usingizi ninakosa usiku lazima ninywe dawa za usingiz ndo nilale , nmefikia hatua mpaka nachoma sindano za tramadol for the sake of usingiz ndio nilale hata kidogo naumia , najiuliza maswali mengi, najilaumu why me naomba mnisaidie cha kufanya
shida ni kwamba mahusiano hayatadumu maana hisia ziko kwingineBora uanze na mtu from scratch unayejua mme/ameanzia wapi.
Pole mkuu
Pole sana kwa yaliyotokea, Ushauri wangu kwako :Habari ndugu zangu! Nimeachana na mtu niliekua na mpenda sana tulikuwa kwenye mahusiano takribani miaka 2 na tumeachana baada ya yeye kuniambia ukweli kuwa ameoa tayari ana mke na mtoto mmoja " last week aliniomba tukutane akemi kwa ajili ya Dinner then baada ya hapo ndio akanitamkia Haya "trisha mpenzi wangu nimekuwa nikiificha hii siri kwa mda wote huo tukiwa kwenye mahusiano sababu ninakupenda na bado ninakuhitaji ila kiukweli mimi nimeoa ni Mume wa mtu na nina mtoto 1 kwa kipindi chote hicho nmekuwa nikijitahidi sana usijue sababu nikihofia kukupoteza " Sasa nmeona sikutendei haki nmeona nikuambie ukweli ili ufanye maamuzi pia kwa upande wako
Baada ya hapo nilikuwa kama nimepigwa shot ya umeme niliondoka sikujibu chochote njiani nikawa nalia sana.... Nikarudi home nikapata nguvu ya kumtumia message "its over between us" baada ya hapo usiku wa saa 8 nilizidiwa sana nikapelekwa Hosp nikalazwa since iyo last week nmekuwa sijielewi mpaka sasa nashindwa hata kula chakula nakunywa vimiminika tu Juice, na maji what even worse hata usingizi ninakosa usiku lazima ninywe dawa za usingiz ndo nilale , nmefikia hatua mpaka nachoma sindano za tramadol for the sake of usingiz ndio nilale hata kidogo naumia , najiuliza maswali mengi, najilaumu why me naomba mnisaidie cha kufanya
Duh.Kama unampenda hangaika kwa watalaamu atarudi yaani watamfarakanisha na huyo aliyekua naye then akurudie wewe
ohooUmeitaja Akemi ukanikumbusha kitu, nimepitia thread zako za nyuma nikagundua tatizo ni mfumo wako wa maisha.
Natafuta wa kwenda naye outing
www.jamiiforums.com
Hapa chini ulitushauri lakini wewe hukuchukua tahadhari pia, ulishindwa vipi kumchunguza kama ameoa?
Kuna la kujifunza kabla jumba bovu halijakuangukia
Hakika wahenga hawakufanya makosa enzi zao katika kutafuta vigezo kabla ya kuoa hii ikiwemo kuchunguza kwa undani familia ya mtu unaetaka kumuoa, hadhi ya familia, nk Back to my point hivi sasa tumekua hatujali, hatuchunguzi na tunakurupuka katika nyanja zote tunaanzisha mahusiano pia tunapoamua...www.jamiiforums.com
Umeitaja Akemi ukanikumbusha kitu, nimepitia thread zako za nyuma nikagundua tatizo ni mfumo wako wa maisha.
Natafuta wa kwenda naye outing
www.jamiiforums.com
Hapa chini ulitushauri lakini wewe hukuchukua tahadhari pia, ulishindwa vipi kumchunguza kama ameoa?
Kuna la kujifunza kabla jumba bovu halijakuangukia
Hakika wahenga hawakufanya makosa enzi zao katika kutafuta vigezo kabla ya kuoa hii ikiwemo kuchunguza kwa undani familia ya mtu unaetaka kumuoa, hadhi ya familia, nk Back to my point hivi sasa tumekua hatujali, hatuchunguzi na tunakurupuka katika nyanja zote tunaanzisha mahusiano pia tunapoamua...www.jamiiforums.com